Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
View attachment 52497
Eti wote si wale wale......Nani wa kumpa hii kesi?
Na nini dawa ya huyu nyenze mwenye mapengo?
Ni makauzu zaidi ya dagaa na hawafai kulumagia wala kula umo umo
Hakika wahenga walisema kesi ya nyani asipewe ngedele
Eti wote si wale wale......Nani wa kumpa hii kesi?
Na nini dawa ya huyu nyenze mwenye mapengo?
Ni makauzu zaidi ya dagaa na hawafai kulumagia wala kula umo umo
Hakika wahenga walisema kesi ya nyani asipewe ngedele