Invisble275
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 982
- 1,166
Chuo cha Mabaharia pale kuna wizi mkubwa unafanyika. Wameingia mkataba na Azam Marine kupack meli zake pale. Lakini pesa zinaliwa na Mkuu wa chuo, Mhasibu Mkuu na Bwana Said ambaye ni Manager wa Azam Marine.
Mchezo unaofanywa ni kwamba pesa zikiingizwa kwenye akaunti ya chuo kama malipo ya huduma wanayopata siku hiyohiyo zinahamishwa.
Kwa mwezi, gharama za kupaki meli ni roughly 27mil
Mchezo unaofanywa ni kwamba pesa zikiingizwa kwenye akaunti ya chuo kama malipo ya huduma wanayopata siku hiyohiyo zinahamishwa.
Kwa mwezi, gharama za kupaki meli ni roughly 27mil