simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Hitimisho la mjadala: The battle lines have been drawn, pistols at dawn.
Hivi kulalamika kwenye mitandao kunasaidia nini? Hivi hamjui ya kuwa hakuna kuvuna pasipo kupanda, na sharti uliwe ili ule? Hivi unadhani waafrika kusini weusi walipata usawa kwa kucheka cheka mitandaoni, au kwamba ndoto za Mchungaji Martin Luther King zilitimia kwa yeye kulala kitandani kuota mitandaoni? Kila mla huliwa na kama tunaitaka katiba mpya na nzuri lazima tuliwe na FFU. Jamaa watatupiga kweli kweli, na mimi nahisi watatuua hasa, lakini hakuna jinsi.....sasa nasema baasi, mwanangu T mie babako nipo tayari kwenda vitani barabarani, kitakachonikuta Mungu atakulinda wewe, jipe moyo, bora kufa kuliko kuishi huku unadhalilika. Nasubiri tamko.....!
Who did not expect this one?
Kombani: procedure itakuwa 'transparency'. someone with my grammar book?
Hitimisho la mjadala: The battle lines have been drawn, pistols at dawn.
Nani atasimamia hilo zoezi? kama ni tume ya Taifa ya uchaguzi basi hakuna kinachofanyika maana hata tume yenyewe siyo huru!!!!!!!!! Hizi nguvu wanazotaka kuzitumia CCM nahisi kama damu yaweza kumwagika TZ Mungu aepushie mbali