I Saw This coming...
Kuanzia sasa ukihoji ni faini kuanzia 500,000/= mpaka 15,000,000/= tsh au kifungo miaka mitatu jela. Daaaamn
mungu yuko!i
Hili suala mara nyingi tunalichanganya sana. Kinachohitajika ni uwepo wa mgombea huru na si mgombea binafsi. Hakika hivi ni vitu viwili tofauti.
Kuna hitaji la kuwepo mgombea huru hasiefungamana na chama au taasisi yoyote. Wagombea binafsi mbona wapo?
Mie nafikiri demokrasia hamuiujui-> demokrasia sio kujenga hoja zenye hoja, demokrasia ni kupiga kura wengi wanapata wachache wanakosa hiyo ndo kanuni ya demokrasia. Kiwe kibaya lakini wengi wamekipigia kura basi ndo hichohicho.
Kwani humo bugeni wachache ndo wameipitisha ama wengi? demokrasia ni quantity ndiyo qualifying perameter na sio quality. Sijui mnalalamika nini?
Well said.
Hiyo demokrasia ya wabunge wa CCM ya kuliibia taifa? Ila kwa sasa sisi wananchi ndio tunachukua nchi yetu kwa kutokuwa na imani na viongozi wote wa bunge na serikali, hiyo demokrasia yao ya kubaka, kandamizi nk ndio demokrasia? Jukumu ni letu sote sasa kudai nchi yetu
Imeungwa na wengi ama wachache humo bungeni? hiyo ndo demokrasia. Wewe unachoongelea ni mahakama mhimili wa haki za maisha. Sio demokrasia
Nilitegemea! nawasikitikia cdm kushindwa kutoa mawazo na michango yao! pengine wangebadili baadhi ya mambo.