zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
idara ya afya mkoa wa tabora imetangaza kutoa huduma ya Tohara kwa wanaume..Na itafanyika wilaya ya nzega..wahi huduma hii ni Bure...
Wanaume miaka 23 watapewa kipaumbele..
Chini ya hapo waje na wazazi.
Tohara ya kisasa..
Wanaume miaka 23 watapewa kipaumbele..
Chini ya hapo waje na wazazi.
Tohara ya kisasa..