Straight corner
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 385
- 132
Wana JF poleni na majukum!
1. Naomba kufahamishwa ni umri gani mzuri kwa mtoto kufanyiwa tohara?
2. Ni hospitali gani kuna dactari mzuri kwa kutoa huduma hii?
3. Inaweza kugharimu kiasi gani.
Natanguliza shukurani zangu wakuu kwani katika sehemu sitaki kukosea ni hapa, naamini wengi mnafahamu unyeti wa suala hili.
1. Naomba kufahamishwa ni umri gani mzuri kwa mtoto kufanyiwa tohara?
2. Ni hospitali gani kuna dactari mzuri kwa kutoa huduma hii?
3. Inaweza kugharimu kiasi gani.
Natanguliza shukurani zangu wakuu kwani katika sehemu sitaki kukosea ni hapa, naamini wengi mnafahamu unyeti wa suala hili.