BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
sina cha kuongeza dada
Kwa mara ya kwanza katika historia,
Leo niko bega kwa bega na mshiki wangu!
Huu ndio ukweli halisi bila kutafuna maneno........... Atakayembishia Lizzy atakuwa anakikimbia kivuli chake na anabishana na hali halisi!....Atakuwa muongo, mzandiki, mnafiki, mpotoshaji,mbabaishaji na mwizi mtupu!!!
Lizzy, uje huku nikupe zawadi yako!!!
Lizzy............. your progress towards maturity surpasses any expectations in my life
You have come too far and i am not here to asses you but i must admit i am learning from you more and more as days come and pass by
Hahahaha..babu naona nimekufurahisha kweli leo..Kwa mara ya kwanza katika historia,
Leo niko bega kwa bega na mshiki wangu!
Huu ndio ukweli halisi bila kutafuna maneno........... Atakayembishia Lizzy atakuwa anakikimbia kivuli chake na anabishana na hali halisi!....Atakuwa muongo, mzandiki, mnafiki, mpotoshaji,mbabaishaji na mwizi mtupu!!!
Lizzy, uje huku nikupe zawadi yako!!!
mimi bana ukinibamba na una ushahidi wa kutosha inakula kwako itabidi uamue unachotaka,hivyo ukiamua kuja kunifumania uwe pia umekwisha kata na shauri kuhusu hatima ya mahusiano yetu.Nikibambwa mimi huwa nakula kobisi tu.
mimi bana ukinibamba na una ushahidi wa kutosha inakula kwako itabidi uamue unachotaka,hivyo ukiamua kuja kunifumania uwe pia umekwisha kata na shauri kuhusu hatima ya mahusiano yetu.Nikibambwa mimi huwa nakula kobisi tu.
Kwa mara ya kwanza katika historia,
Leo niko bega kwa bega na mshiki wangu!
Huu ndio ukweli halisi bila kutafuna maneno........... Atakayembishia Lizzy atakuwa anakikimbia kivuli chake na anabishana na hali halisi!....Atakuwa muongo, mzandiki, mnafiki, mpotoshaji,mbabaishaji na mwizi mtupu!!!
Lizzy, uje huku nikupe zawadi yako!!!
Wanasema mzizi mkavu hauchimbwi dawa, vivyo hivyo kauli ya Lizzy haihitaji justification wala kuipekenyua.... IMEGONGA MULEMULE KUNAKO
we muache Chauro aendelee kutumbua macho tu
Chauro sio kwamba unazeeka ila ni kazi ya wanadamu kushangaza!!!
Siku hizi mimi hata kushangaa kwenyewe kumeniishia maana unashangaa hadi unazoeawe acha mpenzi mie nimezidi kushangaa mpaka maneno huwa yananiishia yani kila siku kuna jipya hakuna kupumzika.
we acha mpenzi mie nimezidi kushangaa mpaka maneno huwa yananiishia yani kila siku kuna jipya hakuna kupumzika.
Siku hizi mimi hata kushangaa kwenyewe kumeniishia maana unashangaa hadi unazoea
Sasa Lizzy kama watu wameishafanya kuwa ni masiha yao ya kawaida....ukishangaa unaambiwa haujui kitu unaambiwa subiri na wewe yakukute ndio utajua....mhhh kazi kweli....ila hapa chini umenichekesha sana..lolHeheheh....usizooe bana!!!Endelea kushangaa labda watachoka kushangaza wapunguze!
...Mwanaume anakataa kwamba sio kweli....kama kuna ushahidi wa kutosha anamsingizia shetani kisha anaomba samahani.
Kupumzika kutoke wapi wakati watu ndo kwanzaa maisha kwao yanaanza!!
Heheheh....usizooe bana!!!Endelea kushangaa labda watachoka kushangaza wapunguze!
Good points......
Lakini mbona tunajisahau kuwa binadamu yuko kwenye kundi la wanyama? Kwa kukataa vitu tunavyofanya tunajitoa kweye hilo kundi. Hebu angalia kuna madume ya nyani yana jike moja, yako madume ya nyani yana wivu.. wako simba ambao wanapigana kwa ajili ya Simba jike etc...
Sometime vitu vingine ni nature ya wanyama...ukiweza kuepukana navyo mshukuru Mungu na tulia hapo hapo!
Sasa Lizzy kama watu wameishafanya kuwa ni masiha yao ya kawaida....ukishangaa unaambiwa haujui kitu unaambiwa subiri na wewe yakukute ndio utajua....mhhh kazi kweli....ila hapa chini umenichekesha sana..lol