Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Inategemea na amekuzidi umri kiasi gani. Hasara mojawapo ni yeye kuanza kuzeeka kabla yako. Akianza kuzeeka hatakuvutia tena. Menopause nayo ikishafika hatataka kumegwa. Unajua kuna tofauti kama mwanaume ndio mkubwa kiumri kwani hata kama akipatwa na erectile dysfunction inayokuja na umri kuwa juu siku hizi kuna dawa kibao unless ni severe case ambayo hata viagra, cialis, au levitra hazitafua dafu. Sasa mwanamke akipungukiwa libido sijui tiba yake ni nini...labda hormone relacement therapy.....
Na kwa maoni yangu mwanaume hatakiwi kumzidi mwanamke zaidi ya miaka 10.
Lakini inawezekana hayo uliyoyasema yasiwe applied kwa wenzetu wazungu? maybe ni kwa Africans tu kwani wao naona ndoa zao nyingi mwanamke ni mkubwa kiumri kuliko mumewe.