FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Nawasiwasi na huyo babu ukute ni kasangoma kamepeleka mashambulizi kwa kabinti ka watu na familia yake wawe wanamuona ni kijana wa miaka 22 kumbe ni kikongwe hasa.
Kweli hainiingi akilini kabisa eti miaka 112-17..mmmh hapo pana kakitu sio kwa mapenzi ya mungu hayo mapenzi ya sangoma tu. Hata kama anatumia viagra bado haijaingia akilini mwangu kabisa
ahahahahaaaaaaaaaaaa.