Tofauti ya modem za zamani na sasa za airtel?

MsakaGamba

JF-Expert Member
Jun 22, 2011
392
141
Wakuu.
Naomba kujua tofauti ya modem za airtel za sasa na zamani na zipi ni bora.
 
za sasa bora na ubora wake zina 7.2 mbps speed na za zamani speed ni 3.6 mbps.

Ila kama unataka nunua hizo modem ni bora ukanunua za vodacom maana voda modem mpya ni huawei e173 kama airtel modem mpya pia ni e173 ila different za voda zinachakachulika.
 
Hata za airtel zinachakachulika ila hapo kwenye 7.2mbps ina saidia nini kama prov wako anakupa 512kbps.
 
Hata za airtel zinachakachulika ila hapo kwenye 7.2mbps ina saidia nini kama prov wako anakupa 512kbps.

Tell me unachakachuaje ukitoa dc unlocker ya kulipia, nimejaribu ku update firmware inashindikana pia.

Kwa voda kuna eneo napata 800kbps
 
Kwa hiyo ina maana mnapokuwa kwenye mtandao mwenye modem ya zamain anapigwa bao na mwenye modem mpya (hizi za sasa) bila kujalisha kuwa mtandao unatoa 3.76g? Mkuu mkwawa hebu niwekee sawa hapa naona kuna tenge.
 
Kwa hiyo ina maana mnapokuwa kwenye mtandao mwenye modem ya zamain anapigwa bao na mwenye modem mpya (hizi za sasa) bila kujalisha kuwa mtandao unatoa 3.76g? Mkuu mkwawa hebu niwekee sawa hapa naona kuna tenge.

Yani hapa unatakiwa uelewe hivi kwenye modem ya 3.6 mbps mwisho speed ya kudownload ni 450kbps na ukiwa na modem ya 7.2 speed ni 900kbps

Kama mtandao unatoa huduma ya slow speed modem zote zinakua sawa ila tofauti huja pale mtandao unapotoa fast speed modem ya 7.2 itamshinda ya 3.6
 
Chief - mkwawa hapa nimekusoma mkuu! Nashukuru sana kwa maelezo yako. Natumaini hapa mleta hoja ataridhika na maelezo yako.
Pamoja sana kamanda.
 
Back
Top Bottom