Bata batani JF-Expert Member Nov 11, 2011 3,182 3,547 Mar 2, 2012 #1 Jana nilipita sehemu nikakuta kuna ubishani mkubwa sana hivi tofauti ya mfanya biashara na mjasiliamali ni ipi
Jana nilipita sehemu nikakuta kuna ubishani mkubwa sana hivi tofauti ya mfanya biashara na mjasiliamali ni ipi
mgodi JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,780 1,845 Mar 2, 2012 #2 Tofauti itakuwepo, ngoja tuwasubiri wanaofahamu watujuze. maana watu kama bakharesa au reginard mengi huwezi kuwaita wajasiliamali!
Tofauti itakuwepo, ngoja tuwasubiri wanaofahamu watujuze. maana watu kama bakharesa au reginard mengi huwezi kuwaita wajasiliamali!