Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
:A S thumbs_down:Nimechunguza kila chama na nikagundua haya katika vyama hivi viwili:-
1. Chadema ni walalamikaji sanaaaa-CCM ni sakivu na wanajari kile wanacho lalamika.
2. Chadema kunamagamba mabichi - CCM kunamagamba yaliyooza
3. Chadema hawataki kusemwa - CCM ni wavumilivu wako tayari kusemwa na kujirekebisha.
4. Chadema sio wazalendo (Wakiudhiwa kidogo bungeni wanazira) - CCM hata ukiwaudhi watakusikiliza na kufikiri na kutoa jibu
5. CHADEMA wanadhani wao Tanzania ni yao - CCM wanachulia Tanzania ni ya watanzania.
Kunautofauti mkubwa sana katika vyama hivi viwili lakini watu wa CDM watakataa. Hebu jaribu kufikiria hata wewe