Tofauti na Mategemeo yang!

mbweta hebu........namaanisha 'ndani' kwani we ukiingia waingia tumboni???
Umenifurahisha sana MO. Dogo anashindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho! Back to the topic, dogo kifupi anaonyesha hana maandalizi mazuri na hiyo ndiyo inayoleta huo ubaridi unaosema. Hivi ukipata mzungu sijui ndiyo utasemaje maana hao nasikia ndiyo baridi kabisa yaani hawanogi!
 
chukua kipima joto mpime joto pia jipime na wewe mwenyewe then linganisha.
 
Akija kupata mwengine, utasikia ooh! Wa moto sana! Anywy Mpeleke kwa Lusekelo au pale mwembe chai kna mrithi wa mikoba, wamfanyie SCIENCE!! Pole kwa janga lililokukuta, kumbuka dawa ya tatizo sio kulikimbia bali kulitatua.
 
Ila asilimia kubwa wanawake weupe huwa hawana joto kulinganisha na weusi wanawake weupe walio wengi miili yao huwa imepowaaaaaaa hata mie huwa cjui ni kwa nini sababu hata wazungu wanawake sio wa joto sana kulinganisah na weusi nafikiri hapo kuna tatizo la kuakisi na kusharabu. Ni mtizamo tu!!
 
ILA ASILIMIA KUBWA WANAWAKE WEUPE HUWA HAWANA JOTO KULINGANISHA NA WEUSI WANAWAKE WEUPE WALIO WENGI MIILI YAO HUWA IMEPOWAAAAAAA HATA MIE HUWA CJUI NI KWA NINI SABABU HATA WAZUNGU  WANAWAKE SIO WA JOTO SANA KULINGANISAH NA WEUSI NAFIKIRI HAPO KUNA TATIZO LA KUAKISI NA KUSHARABU. NI MTIZAMO TU!!
 
ntoto una akili weyee! kuna mdada aliambiwa ''uko loose sana'', akamjibu jamaa ''nadhani ww ndo uko too small aka kibami*', lolliest!mbweta,hebu cheki kama una malaria aisee
Kibami hahahaha Safi sanaVizuri kuangalia pande zote
 
Habari zenu jamanii. Mie kuna dem nlikuwa namfukuzia mda mrefu sana na ni mzuri sana tu. Nikabahatika kumpata ila nkagundua anatatizo katika mwili wake yani Mwanamke kapooza wabaridi hata nimkumbatie vip yan hana joto tofauti na wanawake wengine unakuta mtu wa moto kwel kwel kama jiko. Mara ya kwanza nilihisi labda anaogopa ivo nimejarib kufanya vivo katika vipind tofauti lakin yupo vilevile ili kwang ni tatizo kwan kwanza upunguza presha ya mchezo, mbili tu tunaanza agana. Pliz hapa nin tatizo?

Kwakukusaidia tu ndugu yangu tatizo la kwanza ni wewe mwenyewe, ukweli katika mambo hayo kila mmoja anajukumu la kumpasha mwenzake joto, sasa yawezekana yeye anakupasha joto vilivyo ila wewe hutimizi jukumu lako la kumpasha yeye joto, hebu jitahidi siku moja kabla ya shuli yenyewe tumia muda wa kutosha kuamsha hisia zake (usiharakishe) taratibu mpaka achanganyikiwe halafu pima joto utaniambia lilikuwa ngapi. !!
 
Back
Top Bottom