mbona hatuku endelea wakati mkulu yupo ikulu ? ila haya ndio yalikuwepo:
kulima kwa jembe kama anavolima yeye hapo kwenye picha , hatimae chakula hakuna badala yake tukila sembe ya njano ya ngome kutoka marekani
raia hawakua na uhuru wowote , walingizwa vijijini kumuimbia mkulu..kama ile hekaya ya animal farm
uzalishaji ulipungua kutoka kilimo mpaka viwandani
kukawa hakuna kitu madukani
ujanja ukaanza..kila mwaka akawa anabadilisha noti ili walokua nazo wakiambiwa walanguzi na kunyanganywa
alichukua kwa nguvu nyumba za raia ati kazitaifisha.....hapa naona aliigwa na Iddi Amin...kwani yeye alizichukua nyumba zote za nchi hii alijua kuwa wahindi na wengineo wataona Tanzania pagumu watahama.......
mashamba ya raia aliyachukua bila ya fidia..naona comrade Mugabe hayupo pekee
Mabanks na makampuni ya Bima aliyataifisha yote bila ya fidia
kuagiza gari mpaka upate kibali na ueleze umepata wapi hela....rushwa ilitumika kupata ka- Peugeot
HATIMAE TUKAFUNGA MPAKA NA MALAWI...ALIKUA HAIVI NA BANDA
TUKAKOROFISHANA NA MABUTU....MPAKA NAO UKAFUNGWA ..KWA KUWASAPOTI KINA KABILA MKUBWA
MKULU AKAPELEKA JESHI UGANDA ILI KUMREJESHA RAFIKIYE...OBOTE....HATIMAYE WANAJESHI WAKAULIWA BURE
CHOKO CHOKO ZIKATAWALA JUMUIYA YA AFRICA MASHARIKI IKAVUNJIKA...MKULU AKATUTAKA TUFUNGE MKANDA HALI MBAYA
AKAFUNGA MPAKA NA KENYA ...NA KUWATUKANA JIRANI HAWA KWA KUWAITA MANYANGAU...
KUFUNGWA MPAKA HUU NI SISI NDIO TULIO PATA TABU..MAANA HATUKUWA NA KITU..TUKITEGEMEA MAHITAJI MENGI KUTOKA KENYA...MPAKA HUU ALIKUJA KUUFUNGUA MZEE WETU MWINYI
HATIMAYE AKAWAKARIBISHA WAPINZANI WA AMIN KINA TITO , OBOTE NA MUSEVENI...WAKAPEWA MAFUNZO NA UGANDA IKAVAMIWA..
VITA ILE ILIMGOA AMIN LAKINI MADENI YAKE MPAKA KESHO..ROHO ZA WATU ZIKAPOTEA KWA YASIO TUHUSU
HAPO MKULU AKASEMA HELA HAMNA TUFUNGE MKANDA TUNDU YA MWISHO.
KILA ULIEMUONA TAABAN
HUMU NDANI HAKUSIKILZA MAWAZO YA WENGINE
IKAWA FIKRA ZA MWENYEKITI ZIDUMU WEWE KAMA UNA FIKRA ZAKO UTAPOTEA
MKULU ALIKUA NA TV PEKEE YAKE
WATU WALIINGIZA TV KWA MAGENDO ZIKAJA KUCHUKULIWA WAKATI WA KUWAIBIA WATU ATI ULANGUZI
TV ZENYEWE WABONGO TULIKUA TUNAANGALIA VEDIO TUU......HAKUKUWA NA KITUO CHA TELEVISION
GAZETI NI UHURU NA DAILY NEWS TUUU
RADIO NI RTD TU
ULIZA RTC NI NINI WAKATI WA MKULU
WATU WALIKUA NA CARD ZA CHAKULA KWA WIKI UNAPATA KILO YAKO MOJA YA SEMBE
PETROL ILIKUA KWA CARD UNAPEWA LITA ZAKO 10 KWA WIKI....UKIWA NA SAFARI SHAURI YAKO
MARAFIKI WETU WALIKUA NI MA DICTORS DUNIANI...KINA CHAUSESCU WA ROMANIA, MAO WA CHINA, MANGISTU WA ETHIOPIA, BREZGNEV WA URUSI....SIASA ZA WAUWAJI WA KUBWA NA MAWAZO YAO KINA LENIN NA STALIN NDIO SIASA ZETU...
JEE UNAJUA HUYU STALIN ALIUUWA WARUSI WENGI ZAIDI KULIKO WARUSI WALOKUFA VITA VYA PILI ? SASA SIASA ZA HAW NDIO ILIKUA MAWAZO YETU MASHULENI.
JEE WAJUA KUHUSU VITA VYA BIAFRA , HUKO NIGERIA ? MKULU ALIPELEKA JESHI LETU KUWASAIDIA BIAFRA IJITENGE NA NOGERIA.
JEE UNAFAHAMU KWA ZAIDI YA MARA 5 VIJANA WA BONGO WALITAKA KUMWEKA KANDO MKULU? ALITAKA KUPINDULIWA NA KINA KAMBONA 1968
NA KINA BIBI TITI NA WENZAKE...AKAWAFUNGA.....HAYA YOTE NI KWASABU NCHI ILIKUA INAENDA ARIJOJO
NA MIAKA YA 80 KINA UNCLE TOM , HANSPOPE NA WENZAKE WALITAKA PIA KUMWEKA MKULU KANDO AKASALIMIKA....ALIKIMBIA ZANZIBAR...MPAKA HALI ILIPOTULIA...
KUONESHA MFUMO WAKE ULIKUA UMEWACHOSHA WATU...WALIPOKAMATWA KINA UNCLE TOM WALIWEZA KUTOROSHWA KUTOKA MIXIMUM SECURITY PRISON .....HATIMAE WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ALIJIUZULU...
JEE UNAJUAA MWAKA 1968 ALIWASIMAMISHA JANGWANI KWENYE MKUTANO WA HADHARA ALIYEKUWA BALOZI WA TANZANIA MAREKANI..OTHMAN SHARIF PAMOJA NA MAKAMO WA RAIS WA ZANZIBAR KASSIM HANGA ATI WAMETAKA KUPINDUA SERIKALI YA ZANZIBAR !!! WAKATI BALOZI HUYU ALIMWITA ARUDI KUNA KAZI ?
BAADA YA MKUTANO ULE ALIWAREJESHA ZANZIBAR NA HAWAKUONEKENA TENA MPAKA LEO...
JEE WAJUA VIJAA WA LOCHOKA KULA SEMBE LA NJANO WALITELKA NDEGE YA ATC WAKATI WA MKULU.. NA KUIPELEKA HADI LONDON WAKA DEMAND MKULU AWACHIE WAFUNGWA WA KISIASA NA KUJIUZULU URAIS UMEMSHINDA ?
JEE WA JUA MIAKA MIWILI BAADAE WA BONGO KWA MARA NYENGINE WALIICHUKUA ATC IKIWA ANGANI WAKIWA NA LENGO KAMA LA WENZAO WA MWANZO.....INGAWA HAWA HAWAKUFANIKIWA ATC ILIRUDI DSM NA KUTUA
HAYA YOTE NI KWA SABABU WATU WALICHOKA.....
SASA KUMLINGANISHA MKULU NA KIKWETE ....KWELI NI TOFAUTI.....JAPO ALIKUA BOSI WAKE LAKINI WAKO TOFAUTI..KIKWETE ANATAWALA KUFATA SHERIA NA HAKI ZA WATU......NA ANALIMA KWA KUBOTA NA MATREKTA......NA FEDHA ZA MIKOPO KWA WAKULIMA...NDIO MAAANA CHAKULA KIPO HAKUNA SHIDA....LAKINI JEMBE LA MKONO LA MKULU ILIKUA KAMA ALIVO SEMA MWENYEWE 'KILIMO NI SIASA'
Acha Porojom hizo za Mwaka 47777777777777777777777777777777777777777777777777777777777 Wewe hukumbuki Dunia kwa kipindi kile tuylikuwa nyuma sasa malizetu zote zinauzwa eti unalinganisha na miaka ile linganisha na enzi ya Ukapa na Ukiwete wasasa alaaaaaaaaaaaa
hajakuwa ataacha awezi kufananisha sindano na pembe ya ng'ombe enzi hizo wengi walikuwa hawajasoma sasa wizi ulikuwa ni wa mtu mmoja sasa akili kichwani kwako
Conquest-paka ni paka hata akiwa kama tembo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.