tofauti kati ya MAONYESHO na MAONESHO

Poriposha

JF-Expert Member
Oct 23, 2011
303
68
Wale wataalamu wa lugha nisaidieni hizo tofauti ya hayo maneno, yananichanganya wajameni!!!!
 
Maonyesho ni exihibition kama sabasaba nanenane, wiki ya utumishi wa umma au miaka 50 ya uhuru ikihusisha display ya activities au products.

Maonesho ni kuoangalia onyesho kama tamasha, onyesho la muziki, onyesho la fiesta etc.

Ni kweli wengi wanachanganya maonyesho ya kuonyesha na onyesho la kutazama kama show.
 
Maonyesho ni exihibition kama sabasaba nanenane, wiki ya utumishi wa umma au miaka 50 ya uhuru ikihusisha display ya activities au products. Maonesho ni kuoangalia onyesho kama tamasha, onyesho la muziki, onyesho la fiesta etc. Ni kweli wengi wanachanganya maonyesho ya kuonyesha na onyesho la kutazama kama show.[/QU Usilazimishe kitu usichokijua. It is like this. Maonesho ni neno linalotokana na neno ONA ambalo ndo mzizi. Neno Maonyesho linatokana na mzizi au neno ONYA. Kwa kutumia tu mizizi ya hayo maneno unabaini tofauti kubwa kati ya maneno.
 
onyesho inatokana na onya
onesho inatokana na ona.
mfano.hili onyo la mwisho ukirudia unapewa adhabu.
tumetoka kuona maonesho waliyotuandalia sabasaba.
 
Back
Top Bottom