Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Ni chama kinachopambana na propaganda mbaya sana kwa ustawi wa taifa; udini, ukabila, nchi kutotawalika, vurugu na mengi yenye kufanana na hayo. Hata tanu na asp vilikutana na mbwembwe hizi wakati wa kumtimua mkoloni.