Bongemzito
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 162
- 19
Habari za jioni wanajamii forum,ivi tofauti kati ya Celebrity na Superstar ni ipi? na kipi ni kigezo cha kumpa mtu ucelebrity au Usuperstar!..
Na ni kweli bongo kuna hao watu (Celebrity na Superstar ) na hawa wasanii wetu tumezoea kuwaita masuperstar mara celebrity.........ivi hawa wanafaaa kweli kuwaita ivyo wajamen..
Na ni kweli bongo kuna hao watu (Celebrity na Superstar ) na hawa wasanii wetu tumezoea kuwaita masuperstar mara celebrity.........ivi hawa wanafaaa kweli kuwaita ivyo wajamen..