Kichuguu Platinum Member Oct 11, 2006 15,558 19,437 Jun 6, 2010 #1 Wanaume wanahitaji swicth moja tu, lakini wanawake wanaihataji switch nyingi sana pamoja vikorokocho kadhaa kabla hawajafika. Attachments EngineersView.jpg 61.5 KB · Views: 571
Wanaume wanahitaji swicth moja tu, lakini wanawake wanaihataji switch nyingi sana pamoja vikorokocho kadhaa kabla hawajafika.
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Jun 6, 2010 #3 Kabla hawajafika wapi? :banplease:
Kichuguu Platinum Member Oct 11, 2006 15,558 19,437 Jun 6, 2010 Thread starter #4 Abdulhalim said: Kabla hawajafika wapi? :banplease: Click to expand... ...........................kwenye destination
Abdulhalim said: Kabla hawajafika wapi? :banplease: Click to expand... ...........................kwenye destination
locust60 Senior Member Oct 1, 2008 101 12 Jun 6, 2010 #5 wote wanahitaji switch moja ya on na off bila hii switch hakuna safari hivyo hakuna kufika.
Rose1980 JF-Expert Member May 10, 2010 5,684 1,302 Jun 7, 2010 #6 mmh aya!! na swtch ikiwa mbovu jeeeeee?????
Fisherscom JF-Expert Member Mar 13, 2008 1,763 764 Jun 7, 2010 #7 Rose1980 said: mmh aya!! na swtch ikiwa mbovu jeeeeee????? Click to expand... Unamtafuta fundi anaitengeneza na kazi inaendelea Teh Teh!
Rose1980 said: mmh aya!! na swtch ikiwa mbovu jeeeeee????? Click to expand... Unamtafuta fundi anaitengeneza na kazi inaendelea Teh Teh!
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Nov 15, 2012 #9 Wanawake wanaonekana tatizo kweli kwa wanamme Cha ajabu wanamme kutwa kucha kuwatafuta, sielewi inakuwaje mtu analilia tatizo
Wanawake wanaonekana tatizo kweli kwa wanamme Cha ajabu wanamme kutwa kucha kuwatafuta, sielewi inakuwaje mtu analilia tatizo
Msherwa JF-Expert Member Aug 4, 2012 1,335 1,225 Nov 15, 2012 #10 Fisherscom said: Unamtafuta fundi anaitengeneza na kazi inaendelea Teh Teh! Click to expand... mie ni fundi wa kujitegemea, ni_pm wakat wowote kwa matatizo ya switch
Fisherscom said: Unamtafuta fundi anaitengeneza na kazi inaendelea Teh Teh! Click to expand... mie ni fundi wa kujitegemea, ni_pm wakat wowote kwa matatizo ya switch