Tofaut za airtel modem za 30,000/= na 70,000\=

wiseboy

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
2,931
3,299
Wadau husika na headin above....mm ni mgreater thnker mwenzenu, nataka kupachase moderm ya airtel, naona kuna hizi za promotion na zile za elfu 70, naomba kujua utofauti wake jaman.
 
mnh ya elf 70 ndo ipi? Maana sjawah ziona ungeeka aina za hizo modem then tutafanya comparison
 
Wakuu nimenunua hii huawei e173 ya airtel, nimeinstall kwenye computer yangu(window 7 ultimate) fresh kabisa na network inasoma bila shida, lakini inagoma ku-connect internet. Msaada tafadhali kwa wanaotumia hii modem.
 
Hiyo ya offer ya 30,000 ni nyeupe, iko slow kichizi, ila rate yao iko low. aIle ya 70,000 ni nyekundu, iko faster pesa inakwenda sana!. Ukiinua hiyo ya offer, wanakudanyia net ya bure kwa miezi 6, kiukweli, wanakupa bundle fulani, within a month, bundle linakata, unarecharge kwa 150 na kupewa MB 50. Ile nyekundu, bundle yake ya MB 50 ni 500!.
 
Wakuu nimenunua hii huawei e173 ya airtel, nimeinstall kwenye computer yangu(window 7 ultimate) fresh kabisa na network inasoma bila shida, lakini inagoma ku-connect internet. Msaada tafadhali kwa wanaotumia hii modem.

Mkuu jaribu kuangalia balance kama ipo.
 
mmmh! Mkuu,sikushauri uchukue modem ya aina yoyote kutoka Airtel,usijaribu,ziko slow sana.Jaribu kwingine
 
Balance iko vizuri, nikiweka kwenye simu line inasoma bado nina zaidi ya MB 200 katika lile bundle la MB 400. Kwakweli nimeshindwa kuelewa tatizo hasa liko wapi?
Jaribu kubadili line ujue tatizo ni line au modem otherwise i have no further coments.
 
Hiyo ya offer ya 30,000 ni nyeupe, iko slow kichizi, ila rate yao iko low. aIle ya 70,000 ni nyekundu, iko faster pesa inakwenda sana!. Ukiinua hiyo ya offer, wanakudanyia net ya bure kwa miezi 6, kiukweli, wanakupa bundle fulani, within a month, bundle linakata, unarecharge kwa 150 na kupewa MB 50. Ile nyekundu, bundle yake ya MB 50 ni 500!.

Mkuu nimekuelewa mkuu hizo nyeupe ni Huawei E173 na speed yake ni 7.2mbps kwa kudownload na 5.6mbps kwa ku upload. Na ile nyekundu na maandishi meupe ni ZTE MF180 ambayo sifa ni kama za hapo juu kabisa. Tofauti yake ni kwamba. Huawei mpaka sasa uchakachuaji wake ni Gharama lakini hiyo ZTE kuchakachua ni bure kabisa yani ni rahisi kupindukia. Kuhusu speed ya hizo modems zote ni sawa.
 
wakuu nimenunua hii huawei e173 ya airtel, nimeinstall kwenye computer yangu(window 7 ultimate) fresh kabisa na network inasoma bila shida, lakini inagoma ku-connect internet. Msaada tafadhali kwa wanaotumia hii modem.
sasa wewe kwa nini unaleta matatizo yako kwenye post ya mwenzio? Toa suluhisho kwanza ndio uelezee matatizo yako! Hapo ni sawa na kuomba msaada kwa anayeomba msaada.
 
thanks, i wanted to knw the difference in perfomance, bt kama zote ni sawa, basi zantel wapo juu balaa, they ave untold speed, sema tatizo hawajaenea.
 
Back
Top Bottom