Maeneo ya kisarawe mpaka kimara nawezapa tofali za kuchoma kwa localmaker kwa bei rahisi? Ninataka kuanza kujenga japo 2 room,nimechoka kulipa kodi,nisaidieni
kaza buti mkuu, hata mie nimetumia tofali hizohizo na nyumba iko bomba ile mbaya, cha muhimu kama kweli umedhamiria kujenga inabidi ufunge mkanda, lakini usikate tamaa kila kitu kinawezekana, kwako ni kwako hata kama ni porini, temana na hizo nyumba za shikamoo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.