bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
hii yangu ya pale gerezani kkoo...lol!!!Hahaha unatumia pc ya mchina nini? Haisomi for sale ya nchi yoyote ila China pekee. Imeamua kusema hai-exist!!
hii yangu ya pale gerezani kkoo...lol!!!Hahaha unatumia pc ya mchina nini? Haisomi for sale ya nchi yoyote ila China pekee. Imeamua kusema hai-exist!!
Hakuna privacy wala babu yake privacy semeni mnaficha mambo tu bana. Hiko kiungo chenyewe kinachoitwa "private part" mnapeana tena na makelele kibao mpaka majirani wanaamka. Acheni wizi
Nimemaliza
Aksante shem na kweli umemaliza. What is more private zaidi ya hiyo? and individualistic too!Hakuna privacy wala babu yake privacy semeni mnaficha mambo tu bana. Hiko kiungo chenyewe kinachoitwa "private part" mnapeana tena na makelele kibao mpaka majirani wanaamka. Acheni wizi
Nimemaliza
Ngabu bana! Ati " kupendwa ni kuheshimiwa"
Hakuna privacy wala babu yake privacy semeni mnaficha mambo tu bana. Hiko kiungo chenyewe kinachoitwa "private part" mnapeana tena na makelele kibao mpaka majirani wanaamka. Acheni wizi
Nimemaliza
Humu kuna watu ambao wanadai wako kwenye ndoa. Lakini cha kushangaza kila siku humu wana flirt na watu ambao si wenza wao.
No wonder why they are for "privacy"!
Picking the discussion from where I find it: Mariage is a SOCIAL institution. Ila ukweli ni kwamba you are still two separate INDIVIDUALS na kila mtu anahitaji some personal space inside and outside. Tuache mbali swala la sim, unaweza kua na kiti fulani that you consider "yours" na hata spouse wako akikalia you can ask him/her to seat on another one sababu unataka kiti 'chako'.
The same applies to the phone. You might consider your phone like you considered your diary when you were in early teenage (sijui kama wanaume wanakua na hii but wasichana wengi ninao wajua walikua nazo). you might not have anything secret in it but you just feel like it is too personal to be shared.
That said, I have to admit that binafsi my husband has free access to my phone, email and other accounts.
Alaaa! Kwani uongo Gaijin? Kuna watu wanapendwa hata wakikohoa tu wanaitwa majina! Chezeya kupendwa wewe....
Ngabu lile swali umeahirisha kuuliza? lol... I have a feeling it has to do with this post... Labda yaweza kukusaidia kuelewa!
Aksante shem na kweli umemaliza. What is more private zaidi ya hiyo? and individualistic too!
Ah tungekuwa tunanyimana na hivyo basi kama tunataka privacy in our marriages! Nadhani concept ya kuwa mwili mmoja inakuwa ngumu kueleweka, tunailimit kwenye sharing kitanda tu!.
Tusizeeshane bana Bee, nambie gud moningshikamoo klorokwini
Hahahahaha..... wengine baba na mama ni wezi.... Waweza kuta ni genetic....
hii yangu ya pale gerezani kkoo...lol!!!
....halafu,
siku hizi hizo smartphones mnazotumia, kila mnakokwenda mnaacha 'footprints' na hizo sijui ndio check in-
location apps, aiseee...?...."tekelinalojia" msipotumia vizuri ndoa nyingi zi mashakani!
Aksante shem na kweli umemaliza. What is more private zaidi ya hiyo? and individualistic too!
Ah tungekuwa tunanyimana na hivyo basi kama tunataka privacy in our marriages! Nadhani concept ya kuwa mwili mmoja inakuwa ngumu kueleweka, tunailimit kwenye sharing kitanda tu!.
Today's Relationships: You can touch
each other, but not each other's phones.
Hii imekaaje?