Today's relationships

Umeongea la msingi saana... Ni kweli... Uliniuliza ni kitu gani mumeo inatikiwa asijue.... na hio ni moja wapo. Sikua na maana kua yatakiwa umwambie.. Ila tu tukubali kua "Trust" ndo msingi wa yooote. Ila tu labda iwe abused ndio uanza kufuatilia.... na kushika hizo simu... Maana kama woote mna simu - kuna sababu yoyote ya kuanza taka ya mwenzio nje ya kusema labada yako ipo unavailable? Otherwise labda uwe drived na suspicion.

hapo kwa trust nakubaliana kabisa na wewe Asha

sasa whether anaishika simu yangu kwa sababu yake functions kama zangu au ni yaliyomo anataka kuyaona, sina tatizo kabisa na hilo. so long as unajiamini na una uhakika hakuna kibaya unachomzunga mwenzako, kwa nini ufiche?

kuna watu wanapokelea simu bafuni....unadhani kwa nini? wana jambo hawataki wenzi wao wasikie!!
 
Niishivyo sio muhimu sana hapa.
Cha muhimu ni umejuaje motives za baina ya wenza kwa idadi yake



Ni muhimu Gaijin... Ukiniambia waishi in isolation nitaelewa why you don't understand....

Ukinijibu hapo... Kama ni YES, Nitapenda nijue the following...


  • Umebahatika kuzungukwa na wana ndoa? kama ni YES.
  • Ni typical ndoa kama za Watanzania wa kawaida?
The najua ndo nitaweza kukujibu hadi ukafurahi.... Labda uhahirishe kutaka jua....:eyebrows:
 
kuna wakati huwa nahisi tunapenda kufanya maisha magumu bila sababu!
 
Ni muhimu Gaijin... Ukiniambia waishi in isolation nitaelewa why you don't understand....

Ukinijibu hapo... Kama ni YES, Nitapenda nijue the following...


  • Umebahatika kuzungukwa na wana ndoa? kama ni YES.
  • Ni typical ndoa kama za Watanzania wa kawaida?
The najua ndo nitaweza kukujibu hadi ukafurahi.... Labda uhahirishe kutaka jua....:eyebrows:

Ukiona mtu anazunguka mbuyu kwa sana jua hana jibu
 
Kwa kweli sielewi.

Labda kutokana na case niliyowahi ishuhudia/isikia mtaani kwetu

Baba alikuwa msiri kwa mkewe
Na mke alikuwa mama wa nyumbani
Akafa ghafla
Mdogo wa marehemu ndo akaanza kumuonesha mkewe baadhi ya vitega uchumu vya mumewe
Lakini inasemekana na mdogo mtu alichukua a big portion
Maana baada ya kifo cha kaka mtu mdogo ghafla alitajirika
Watu wakawa wanajiuliza kapata wapi hivi vyote maana alikuwa mwajiriwa wa kaka yake

Na wewe huelewi kumbe?
 
  • Thanks
Reactions: bht
Kwa kweli sielewi.

Labda kutokana na case niliyowahi ishuhudia/isikia mtaani kwetu

Baba alikuwa msiri kwa mkewe
Na mke alikuwa mama wa nyumbani
Akafa ghafla
Mdogo wa marehemu ndo akaanza kumuonesha mkewe baadhi ya vitega uchumu vya mumewe
Lakini inasemekana na mdogo mtu alichukua a big portion
Maana baada ya kifo cha kaka mtu mdogo ghafla alitajirika
Watu wakawa wanajiuliza kapata wapi hivi vyote maana alikuwa mwajiriwa wa kaka yake

Pamoko!
 
hapo kwa trust nakubaliana kabisa na wewe Asha

sasa whether anaishika simu yangu kwa sababu yake functions kama zangu au ni yaliyomo anataka kuyaona, sina tatizo kabisa na hilo. so long as unajiamini na una uhakika hakuna kibaya unachomzunga mwenzako, kwa nini ufiche?

kuna watu wanapokelea simu bafuni....unadhani kwa nini? wana jambo hawataki wenzi wao wasikie!!



Bht I don't believe in somebody messing up with my 4n...
Hivo i will respect ya mwenzangu kama vile nitataka arespect.
Na sio sababu kua kuna kitu funny nafanya... No... Basi tu ni hulka yangu...
How ever hata hivo Trust dhidi ya simu inatakiwa ijengwe kwanza....
Kushika shika kila mara... HAPANA, Kushika when ever necessary... Thats good to me.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Ukiona mtu anazunguka mbuyu kwa sana jua hana jibu



Ndio ulivo Gaijin... Sometimes it is tiresome kufanya as discussion with you.... (yawezekana labda ni kwangu for we NEVER EVER have agreed on anything...); Wee wapenda saana kuuliza maswali ujibiwe.... Ila vipi wewe huwezi Jibu? Are you allergic to questions OR you are just allergic to mine?

It is simple.... Umeeuliza swali na nimekuuliza "Do you live in Isolation?" IMO swali rahisi Kabisa... Umekwepa sasa wataka CONCLUDE sina jibu... Sikurupuki na hua sianzishi nisilojua... Hivo basi MAJIBU ninayo... Yaweza kua wrong depending on one's perspective.. but there are there.... Hivo basi wataka nikujibu JIBU SWALI LANGU....
 
Bht I don't believe in somebody messing up with my 4n...
Hivo i will respect ya mwenzangu kama vile nitataka arespect.
Na sio sababu kua kuna kitu funny nafanya... No... Basi tu ni hulka yangu...
How ever hata hivo Trust dhidi ya simu inatakiwa ijengwe kwanza....
Kushika shika kila mara... HAPANA, Kushika when ever necessary... Thats good to me.

sawa Asha hamna tabu kabisa
cha muhimu ni matendo yako ya uaminifu tu na si vinginevyo!!
 
Ndio ulivo Gaijin... Sometimes it is tiresome kufanya as discussion with you.... (yawezekana labda ni kwangu for we NEVER EVER have agreed on anything...); Wee wapenda saana kuuliza maswali ujibiwe.... Ila vipi wewe huwezi Jibu? Are you allergic to questions OR you are just allergic to mine?

It is simple.... Umeeuliza swali na nimekuuliza "Do you live in Isolation?" IMO swali rahisi Kabisa... Umekwepa sasa wataka CONCLUDE sina jibu... Sikurupuki na hua sianzishi nisilojua... Hivo basi MAJIBU ninayo... Yaweza kua wrong depending on one's perspective.. but there are there.... Hivo basi wataka nikujibu JIBU SWALI LANGU....

Kama ulivyosema "ndivyo nilivyo"

Btw sina lazima ya kujibiwa, unaweza kaa nalo jibu lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom