Today's relationships

Daaah hii mada ni hatari..on my side ishu ni kuaminiana tuu coz u may inspect his or her phone daily kumbe mwenzio ana lyn tatu so imekula kwako haswaaaaa
 
khaaa! Utaniharibia ndoa, we nikikwambia mbu hakufai utafurahi?

Lol.
Uporoto saizi yangu kabisa. Hivi huwa unakagua simu ya mbu?

Hahah Hus bana, hapana lisimu lake la analogu halivutii hata kulitizama, achilia mbali kulishika! No games, no nothing

Lol Mbu habari za jioni baba, ushakula?
 
...lol...kiapo cha nini tena yarabi? mie msema kweli daima bana, wengi waliomstari wa mbele (incl wakili klorokwini)
kukemea tabia hiyo, wengi wao ndio walio mstari wa mbele kuwaficha wenza wao yanayohusiana na simu zao...
yes i said it, otherwise...kwanini maugomvi mengi ya kizazi hiki yanahusisha matumizi ya mobile fones?

...aheri ya nusu shari bana, mie yangu nai lock 24/7...mambo ya kununiwa kisa nimepokea sms yenye xoxo, au kwanini nimejibu "me too...!," hapana kwa afya ya akili yangu.
Dah,I bet na wewe ya mwenzi wako no ya kwake. Isijekuwa yako yako na yake yako.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
khaaa! Utaniharibia ndoa, we nikikwambia mbu hakufai utafurahi? Lol.
Uporoto saizi yangu kabisa. Hivi huwa unakagua simu ya mbu?

...lol...hala hala mti na jicho, wenyewe tushashibana...uchuro huo!

Hahah Hus bana, hapana lisimu lake la analogu halivutii hata kulitizama, achilia mbali kulishika! No games, no nothing

Lol Mbu habari za jioni baba, ushakula?

...halafu hainipi presha hii bana, ati uchungulie sms? hapa hata mtu aki beep hasara 'ke...
images


Dah,I bet na wewe ya mwenzi wako no ya kwake. Isijekuwa yako yako na yake yako.

...lol...soulmate amini usiamini hali ndio hiyo, umesahauje naweee...? angalau weye waijua analogue yangu, mie yako hata sikumbuki ni Iphone vile, au HTC...au watumia Samsung Galaxy weye?
 
Wadau, i think its unfair kulinganisha mtu kukupa simu ushike na kukushika sehemu yoyote ya miwli

simu kwas sasa ni beyond a handset, it has the insight of you, history, thoughts, accounts and other finance information let alone codes for communication... it is easy to hug one person while thinking of something else, it is more difficult let anyone read even your diary since we were young... i look at the mobile phone as an advanced DIARY!!!

with our bodies (mahekalu ya bwan) tunaweza kuweka mengi na mtu asijui, there are notes or scriptures for one to read, it is just what comes out of our mouths be it genuine or not... moreover, evrey human beings need that private moment, and we usually have it by just having a body covering everything in it...

zaidi ya hayo, kiubinadamu tu, kulinganisha simu na mtu ni very different, labda niulize, kuna anasema anachowaza kila wakati?
 
Haina haja ya kumzuia mwenzako kushika simu yako, labda asipende tu. Kwa sababu huko chumbani ukiingia bafuni, hiyo simu unaicha wapi? Ukiumwa umelazwa hospitalini unaiweka wapi? Mbona unamaptia anaenda nayo kuchaji home, then asubuhi anakuja nayo. Kwanza ukitaka kuwa huru bila presha, weka simu yako huru. Hakuna atakayekuhisi vibaya, hata kama unabanjua amri ya sita mara 100 kwa siku. Lakini kama ukimwona mwenzio anagusa simu yako unakuwa mkali ujue unasababisha ajiulize na kukuhisi vibaya.
 
hahaha.... Dear naona yategemea na one's/couple's stand.... But IMHO...


  1. Mambo ya kazini ambayo Kampuni hairuhusu yajulikane.
  2. Mambo mengine ya kifamilia ni ya aibu e.g mjomba kabaka mdogo wako (God forbid)
  3. Kwamba kuna mwanaume/mwanamke mwingine wamkubali kuliko yeye spouse wako.
  4. Yaweza yakawepo mengine.... (but haya si yatosha B'?)

kama hizi ndo privacy tunashadadia basi hapo ni big NO. Mfano, yaani mjombako abake mdogo wangu useme hiyo ni privacy.
ashadii naheshimu na napenda post zako.. lakini sababu ambazo umetoa hazijustify,.

mimi sipendi shika simu ya mwenzi wangu... ila ninachojua sababu kubwa inayowafanya watu tusichike simu za wenzi wetu ni kutaka kukwepa kujua ukweli kwamba labada mwenzi wangu ana nyumba ndogo. hiyo naamini ndo sababu kubwa!! mengine tunataka kujaliiziajalizia tu!!!. tuache unafiki tuseme ukweli wetu ulio moyoni.

i need to hear other reasons beyond given by ASHADII. labda tuchukue theory hii "Phone privacy=mtu kuvaa nguo" then tuifanyie kazi kwa kuifikiria kwa undani zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom