Tumefika huko???baadhi ya wadada!
tiGo hiyo ilichakachuliwa
Alitaka kukeketwa!
Dah! Hizi nyumba zetu za uswahilini nazo zina mambo..
hawajakubaliana malipo ya tigo.
Nawe uache kusikiliza yasiyo kuhusu
habari lako mkuu,
lakini kumbuka uchakachuaji wa hiyo tiGO NOWADAYS,
Hauna makelele ya hivo, kwani dada zetu ndo wanaoridhia hayo mambo!!!!
Baada ya hapo ulifanya nini?Maana inaonekana ulihamasika
Kumbe huko ni nyumbani kwako didn't know nitajaribu kugonga nione kama nitafunguliwa
dada wote?
toka zako.
acha umbea.
karibu,pole kwa majukumu,
tabia yako mbaya, we mtoto,
ndo nini kususa?
kususa jana tu ndo imekuwa kes?
bas leo sisusi...inakuwaje mjombhaaaaaaaaaaaaa me miss u mbaya wewe...npe muktadha afta sunset bas.....nakuzingatia!!!
pamoko sana tu.....kunja den?bas mi ntalipa!!!!!!!!
itakuwa tiGO express yourself au ule mtandao wa zenji usemao twanga kote kote.
jamaa aliweka infront wakat demu alitaka robo shiling kw sekunde ...c unajua dada ze2 ucpoenda huko anakuona mshamba.
sasa ukwenda kutoa msaada sio vzuri jirani akipiga kelele ujue kazidiwa
naenda kuwasemea kwa kaka SHETAN....mnaongea mambo meusi tiiii!!!!!!