Wakati WAFIWA mkiwa na majonzi makubwa ya MUSIBA huu, tunaomba mujisikie kuwa SISI watanzania wenzenu tuko pamoja nanyi kuomboleza MUSIBA HUU WA TAIFA. "Waliokufa ni MASHUJAA wa Tanzania, na historia ya kutafuta ukombozi wa kweli waliyoionesha HAITAFUTIKA VIZAZI NA VIZAZI. Mungu atawahukumu wauaji POLISI SAWA SAWA na mapenzi yake. MUNGU ziweke pema ROHO za MAREHEMU HAWA; "BWANA ALITOA-NA BWANA AMETWAA-JINA LA BWANA LIBARIKIWE!
Asante ShyMkakati wa Kusaidia WanaArusha .
Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia
WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na
Viongozi wao .
Kwa sasa namba zitakazotumika kwa michango ni
ZAP 0786 806028
MPESA 0766334049
Naomba kujua kama hii ni tofauti na michango inayoendelea hapa
M-PESA: 0753444443
ZAP: 0688111161
TIGO PESA: 0659173663
AU FIKISHA MCHANGO WAKO OFISI YA MBUNGE ARUSHA MJINI
TUNAWAOMBA WANANCHI KUCHANGIA KIASI CHOCHOTE KWANI KITASAIDIA KUFANIKISHA SHUGHULI HIZI ZA MAZISHI NA MATIBABU KWA MASHUJAA WALIOJERULIWA VIBAYA.
MAWASILIANO:
GODBLESS LEMA ((MP) 0764 150747
JOHN BAYO (DIWANI) 0784 280262
Ndugu wana JF nimeona nianzishe thread hii rasmi kwa ajili ya kutoa rambirambi zetu kwa marehemu wa tukio la maandamano ya Arusha. Ninaomba tusiifanye thread hii kuwa ya kutolea vijembe vya kisiasa ila iwe ni kwa yeyote mwenye kujisikia kusema neno kwa marehemu na wafiwa.
Tunajua marehemu wataagwa kitaifa Januari 12 kwenye viwanja vya NMC Arusha lakini kwa tulio mbali tunaweza kujumika nao kiroho kwa njia hii.
Marehemu watakaoagwa siku hiyo ni;
Ismail Omary (40) wa kijiji cha Laki Tatu kata ya USA River Arusha, na
Denis Michael Ngowi (30) wa Rombo Mkuu mkoani Kilimanjaro.
Naomba kuwasilisha.