kila mTanzania mwenye umri chini ya miaka 18 anayezidi kimo cha urefu wa futi tano alipiwe bili ya maziwaq lita tano kila siku. ilikuhamasisha watanzania kikua na urefusha vimo vyao.
Yafuatayo ni maoni ya baadhi ya wadau...
Dereva: trafiki wacwepo barabarani
Mwanafunzi: hesabu zifutwe mashuleni.
Mfanyabiashara: TRA itaifishwe.
Mlevi: baa ziwepo maofisini.
Mdau na ww ongezea maoni yako.
Waziri ama mbunge yeyote yule atakaye vurunda au atakayeshindwa kutimiza ahadi zake kwa wapiga kura wake, apigwe chini mara moja na ahukumiwe kifo kwa kukatwa shingo yake KIDOGO KIDOGO kwa msumeno MPAKA AFE!
- Makao makuu ya Nchi yahamie Dodoma kuondoa msongamano Dar
- Elumi ya msingi na sekondari itolewe bure
- Wabunge wasipewe uwaziri
- Spika wa Bunge awe mtu huru asiye na mahusiano na chama chochote cha siasa
- Katiba itoe uhuru kwa mtu yoyote kugombea nafasi yoyote ya uongozi bila ya kupitia katika chama cha siasa
- Ipatikane Serikali moja ya Jamhuri ya muungano ya Tanzania, Rais atatoka upande wowote kulingana na sifa yake.
- Itungwe sheria kali dhidi ya ufisadi-miaka hadi 30 jera na mali za mafisadi zitaifishwe wakitoka jera wachapwe viboko hadharani.
- Magereza yawe vyo vya mafunzo na si kutesa watu-yatumike kwa kuzalisha mali kwa kutumia dhana za kisasa.