Toa maoni yako juu ya wagombea hawa wa BAVICHA (Chadema) taifa

Wewe ndo unayataka makundi yaendelee baada ya uchaguzi. Ukweli ni kwamba hata kama ungegombea wewe na mwanao, makundi lazima yangekuwepo. Ni busara za Chama huhitaji kuyauwa makundi mara tu baada ya uchaguzi lasivyo yanaweza kuruga chama. CCM kulakuwa na makundi uchaguzi wa 1995 ambayo yaliuawa kwa busara za uongozi wa kipindi kile, 2005 napo kulikuwa na makundi ambayo yalishindwa kuuawa katika kipindi hicho na ndo yanayokitafuna Chama. Obama na Hillary Clinton walikuwa na makundi ndani ya Democratic, busara zilitumika kuyauwa ndo maana chama chao kiko imara. Naamini hata viopngozi wa Chadema watatumia busara kuyauwa haya makundi mara tu baada ya uchaguzi.

hatahivyo,kumaliza makundi sio rahisi kama unavyodhani hii inategemea uwezo wa kufikiri na busara za atakayeshinda.
dawa ni moja ambayo ni salama tu, kuwatupilia mbali hawa watu wawili, mm nawajua wanaweza kuwa wazuri, lakini kwa sababu ya makundi yao yaliyo wazi hii ndiyo dawa, ya kumaliza makelele.
 
Hivi huyu mwenye picha hii ndo kweli anayetoaga comments humu? Mbona hafanani kabisa na utumbo ambao huwa anamwaga hapa. Au ndo uzuri wa fenesi, ndani .........................................

huyu ni kivuli cha kuzimu kabisa ndo maana namwita pupupumbo, na majezi yake ya aibu tutamuitia akina mura wamtwange majiwe
 
Ukweli ni kwamba huwezi kukwepa political alliances katika uchaguzi.Kabla hujaanzisha political alliance ni lazima ufikirie control and Exit strategy baada ya uchaguzi bila ku-offend washirika wako

Pia ni lazima ufanye projection towards institutional unification ili ufanye kazi kwa ufanisi.

Pia suala la kuwaengua watu kwa reasons ndogo ndogo ambazo ni personal ni hatari.Si dhana ya demokrasia hiyo.Natoa wito kwa wanasiasa,tusiogope ku-face ballot.ukiogopa uchaguzi utakuwa unaandaa mazingira ya kuchakachua.Let us ensure Democracy in general and Electorate mechanism prevails.Huu ni uchaguzi wa Baraza la vijana la Chama kikuu cha upinzani

Kuhusu suala la mdahalo:Nimepata taarifa kwamba mdahalo uliokuwa urushwe live na ITV hapo jumamosi umeahirishwa.Mdahalo ulioandaliwa na taasisi au kwa njia ambazo ni credible ungesaidia sana

2011/15-Movement for Radical change,Let us Dare
 
Great nations are not run on luck,fear or favour but on strong drive,determination and vision.Let us focus on our Grand Mission with courage,tenacity,determination,with Passion and persistence.United we stand,divided we fall.Tukiwa tunajiandaa na uchaguzi huu,tuhakikishe kwamba chama kinakuwa intact kwanza.

Ndugu zetu wa Upande wa pili(CCM),subirini muone timu mpya ya BAVICHA ...Jiandaeni kisaikolojia,nina imani mtakuwa wapinzani imara baada ya uchaguzi mkuu 2015 (kama mtafika huko).
 
Ni mwaka mmoja Tangu uchaguzi wa baraza la vijana ufanyike.Toa maoni yako kuhusu namna bora ya kuendelea kuboresha baraza hili.Tuusaidie uongozi uliochaguliwa tarehe 28/05/11

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...hange-bavicha-ifanye-nini-toa-maoni-yako.html

baada ya kusoma post za hapa nimegundua kwa nini yule dada alikurupuka kumtetea shibuda. Kuna watu wanajenga chama kila siku na wengine wanavizia ukosee ili wavuruge chama. Ben, habib na mwampamba nimesoma na coment zenu fb, inaonekana nyie ndo mliomtuma yule dogo bila kufikiria namna mtakavyovuliwa nguo kwa matamshi yale. Sasa hivi mmemuacha bint peke yake ndo anaona aibu kwa pumba alizotapika. Heche anakijenga chama nyie hatuwasikii hata siku moja zaidi ya kuzunguka mlango wa nyuma kumchafua mtu. Kumbukeni vijana wa ccm mnaosaidiana nao kuichafua cdm ndoto yao ni kuona watz wanaendelea kuwa maskini kwani umaskini wetu ndo mtaji wao. Kuna wakati muwe mnakubali kushindwa na kusonga mbele. Mumsaidie yule binti during this period of psychological hardship.
 
Serikali ya Kenya kupitia Rais wake Mwai Kibaki imekataa kupeleka kesi za watuhumiwa wa vurugu za baada ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo (post election violence) katika mahakama ya kimataifa ya wahalifu wa kivita (International Criminal Court –ICC)

Kijana na hiyo masters zako unatia mashaka.
Kwa Taarifa, yanayoendelea The Haque yametokea baada ya Uchaguzi wa BAVICHA. Taarifa hii ya Ben Saanane ilikuja wakati anatangaza nia yake kugombea nafasi BAVICHA. Kama kweli uko kileo, Taarifa hii ilihtakiwa itoke kabla ya tarehe 28 Mei, 2011.Thanks Ben for the information but its old though we're learning everyday.

Chadema Forever.
 
baada ya kusoma post za hapa nimegundua kwa nini yule dada alikurupuka kumtetea shibuda. Kuna watu wanajenga chama kila siku na wengine wanavizia ukosee ili wavuruge chama. Ben, habib na mwampamba nimesoma na coment zenu fb, inaonekana nyie ndo mliomtuma yule dogo bila kufikiria namna mtakavyovuliwa nguo kwa matamshi yale. Sasa hivi mmemuacha bint peke yake ndo anaona aibu kwa pumba alizotapika. Heche anakijenga chama nyie hatuwasikii hata siku moja zaidi ya kuzunguka mlango wa nyuma kumchafua mtu. Kumbukeni vijana wa ccm mnaosaidiana nao kuichafua cdm ndoto yao ni kuona watz wanaendelea kuwa maskini kwani umaskini wetu ndo mtaji wao. Kuna wakati muwe mnakubali kushindwa na kusonga mbele. Mumsaidie yule binti during this period of psychological hardship.

Ningefurahi sana ungeleta comment yangu facebook yenye mwelekeo huo...Halafu ukithibitisha haya uliyoandika utaendelea kuaminika hapo badae.Do credibility a favor.substantiate your argument sir


Serikali ya Kenya kupitia Rais wake Mwai Kibaki imekataa kupeleka kesi za watuhumiwa wa vurugu za baada ya uchaguzi mkuu wa nchi hiyo (post election violence) katika mahakama ya kimataifa ya wahalifu wa kivita (International Criminal Court –ICC)

Kijana na hiyo masters zako unatia mashaka.


Kwa Taarifa, yanayoendelea The Haque yametokea baada ya Uchaguzi wa BAVICHA. Taarifa hii ya Ben Saanane ilikuja wakati anatangaza nia yake kugombea nafasi BAVICHA. Kama kweli uko kileo, Taarifa hii ilihtakiwa itoke kabla ya tarehe 28 Mei, 2011.Thanks Ben for the information but its old though we're learning everyday.

Chadema Forever.

Real Masai,

Duh,kweli usilolijua ni usiku wa giza...

Sakata la The Hague lilianza lini mkuu?
 
Mwenyekiti,Saanane naona anafaa zaidi.Hapo kwenye katibu Steven Owawa anafaa kabisa maana ni mwanasiasa machachari tangu enzi za UDSM.

Ni mtizamo tu.
 
Back
Top Bottom