klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
- Thread starter
- #21
hehehe bishanga bana!Kloloquine mbona husemi tenzi umeidedicate kwa nani?
hehehe bishanga bana!Kloloquine mbona husemi tenzi umeidedicate kwa nani?
hehehe bishanga bana!
Nilishangaa mbona umechelewa kujitokeza ? afazali sasa roho itatulia, mlengwa kahuzuria.
Muhusika ndo wewe???
heheeh usjali, The Finest kaletewa baskeli mpya na mjombaake kutoka Sri Lanka leo, kwahiyo yuko bize na baskeli yake anatanua kijijini. wee jimwage tu.mmmhh
si waelewa my dear
maji ya kuoga lazima
niyachemshe kwanza..
maji ya baridi mmmmhhh
Asante sana ngoja TF aingie kipande hii ...
dah! usitoboe basi, kila mtu akaelewa. Nitakuwa mgeni wa nani mimi?Ukiona hivi mtu mzima ujue leo home kulikuwa na mtafaruku, shairi lote hilo, nimeshindwa kulisoma.
heheeh usjali, The Finest kaletewa baskeli mpya na mjombaake kutoka Sri Lanka leo, kwahiyo yuko bize na baskeli yake anatanua kijijini. wee jimwage tu.
hahahahahahha lol
umeanza aee dahhh
haya bwana ..
dahh umeniwekea picha
mbaya kichwani ni kama namwona TF
anapiga mruzi na baiskeli yake anasukuma mlimani hahahahh lol
Halaf utashangaa yeye ndio selebriti wa kijiji, wanamuita misun chakraboti.
aaargh hawezi kukasirika bana, hapa ndio tumeipamba sana CV yake, atashukuru sana yaani.hahahaahh lol
hapo kakupigia suspenda na jacket
babu kubwa rangi ya njano na maraio
hahahhaahhaha lol jamani sisi wabaya
lakini chamoto kinakuja akirudi humu hahah lol
Nashkuru amekwambia. Vipi anaendeleaje?
dah! acha nilog out AD am running out of time. talk to u soon. Stay blessed, u and the rest of members. Tchao
Ukiona hivi mtu mzima ujue leo home kulikuwa na mtafaruku, shairi lote hilo, nimeshindwa kulisoma.