To you Power Breakfast: Fumbo mfumbie mjinga, na ufumbapo usiwe mjinga!

Uliyoyasema tumeyasikia,ila umejificha,hatukuoni wala hatuwezi kukujibu,si uko studio ndani huko ambako mko peke yenu mlolishwa sumu mkakolea.Upande wa pili hawapo,mna uhuru wa koungea mnachokitaka,hakuna wa kuhoji,kujibu,kuuliza.Mnaongea mnachekacheka,mnadhihaki,mnatukana,mnadhalilisha.Hakika mtu akikuskilizeni,kama ana mtindio kama nyie! atasema Herooos!
Lakini,you gays (not guys),are loosing credibility,yourself,your employer and your business.We know you ar working at the best interest of your employer,and every employee is expected to do the same. Lakini chungeni msifanye hivyo at the expense of the community and obvious at the expense of your own fate.
Kama kweli mna nia ya kuelimisha,tokeni nje,hadharani tujibizane hoja kwa hoja,hapo ndipo jamii itajua pumba ipi,mchele upi.Kujificha chumbani unatupa mawe kwa dirishani afu unafunga dirisha hakuonyeshi ukomavu wenu,ni dalili za woga na kwamba hamuviwezi vita,hamna silaha za kutosha kuingia vitani.
Mnaonaje mkiita upande wa pili nao wawe hapo chumbani wakijibu hoja zenu,wakijilinda,wakijitetea,wakieleza umma juu ya tuhuma zenu? Do you think you have perfect information? Perfect info can not be obtained by stumpen like you hando,you are very young to know things at depth.
Radio Clouds ni ya chama gani? kama ni ya chama cha siasa tujuzeni,ni wakati muafaka tukajua hilo.Hando inawezekana hujui ni watangazaji wangapi Rwanda na Burundi wamefungwa maisha gerezani,wamehukumiwa kunyongwa kwa sababu ya maneno waliyoyasema Studio,yakaleta mauaji. Nahisi unajua ila kwa sababu tu ya shida za maisha ya leo,unajitoa sadaka bila kuitizama kesho.
Hando,life changes,envirom go changing,people change,situations change,time is not fixed.Things never remain the same.Am worried about you and your fate.
 
radio nyingi hizi za fm,zimetawaliwa na mizaha iliyochanganyika na porojo,wanahitaji umakini zaidi,wamekaa kibiashara zaidi bila kuangalia maslahi ya taifa,bla bla.......
 
maelezo meengii yanatosha! haya =! KAFANYAJE???



Uliyoyasema tumeyasikia,ila umejificha,hatukuoni wala hatuwezi kukujibu,si uko studio ndani huko ambako mko peke yenu mlolishwa sumu mkakolea.Upande wa pili hawapo,mna uhuru wa koungea mnachokitaka,hakuna wa kuhoji,kujibu,kuuliza.Mnaongea mnachekacheka,mnadhihaki,mnatukana,mnadhalilisha.Hakika mtu akikuskilizeni,kama ana mtindio kama nyie! atasema Herooos!
Lakini,you gays (not guys),are loosing credibility,yourself,your employer and your business.We know you ar working at the best interest of your employer,and every employee is expected to do the same. Lakini chungeni msifanye hivyo at the expense of the community and obvious at the expense of your own fate.
Kama kweli mna nia ya kuelimisha,tokeni nje,hadharani tujibizane hoja kwa hoja,hapo ndipo jamii itajua pumba ipi,mchele upi.Kujificha chumbani unatupa mawe kwa dirishani afu unafunga dirisha hakuonyeshi ukomavu wenu,ni dalili za woga na kwamba hamuviwezi vita,hamna silaha za kutosha kuingia vitani.
Mnaonaje mkiita upande wa pili nao wawe hapo chumbani wakijibu hoja zenu,wakijilinda,wakijitetea,wakieleza umma juu ya tuhuma zenu? Do you think you have perfect information? Perfect info can not be obtained by stumpen like you hando,you are very young to know things at depth.
Radio Clouds ni ya chama gani? kama ni ya chama cha siasa tujuzeni,ni wakati muafaka tukajua hilo.Hando inawezekana hujui ni watangazaji wangapi Rwanda na Burundi wamefungwa maisha gerezani,wamehukumiwa kunyongwa kwa sababu ya maneno waliyoyasema Studio,yakaleta mauaji. Nahisi unajua ila kwa sababu tu ya shida za maisha ya leo,unajitoa sadaka bila kuitizama kesho.
Hando,life changes,envirom go changing,people change,situations change,time is not fixed.Things never remain the same.Am worried about you and your fate.
 
Hivi kuna uongo mtu akisema cdm inachochea fujo? khaa, mnashangaaza!

hakuna uongo kama akilia zako zimeanzia katikati.... ningekua mimi ningesema chanzo cha fujo si siasa, ni serikali kushindwa kuelewa majukumu yake na yale ya vyama vya siasa hata kama chama kimeshika hatamu
 
Uliyoyasema tumeyasikia,ila umejificha,hatukuoni wala hatuwezi kukujibu,si uko studio ndani huko ambako mko peke yenu mlolishwa sumu mkakolea.Upande wa pili hawapo,mna uhuru wa koungea mnachokitaka,hakuna wa kuhoji,kujibu,kuuliza.Mnaongea mnachekacheka,mnadhihaki,mnatukana,mnadhalilisha.Hakika mtu akikuskilizeni,kama ana mtindio kama nyie! atasema Herooos!
Lakini,you gays (not guys),are loosing credibility,yourself,your employer and your business.We know you ar working at the best interest of your employer,and every employee is expected to do the same. Lakini chungeni msifanye hivyo at the expense of the community and obvious at the expense of your own fate.
Kama kweli mna nia ya kuelimisha,tokeni nje,hadharani tujibizane hoja kwa hoja,hapo ndipo jamii itajua pumba ipi,mchele upi.Kujificha chumbani unatupa mawe kwa dirishani afu unafunga dirisha hakuonyeshi ukomavu wenu,ni dalili za woga na kwamba hamuviwezi vita,hamna silaha za kutosha kuingia vitani.
Mnaonaje mkiita upande wa pili nao wawe hapo chumbani wakijibu hoja zenu,wakijilinda,wakijitetea,wakieleza umma juu ya tuhuma zenu? Do you think you have perfect information? Perfect info can not be obtained by stumpen like you hando,you are very young to know things at depth.
Radio Clouds ni ya chama gani? kama ni ya chama cha siasa tujuzeni,ni wakati muafaka tukajua hilo.Hando inawezekana hujui ni watangazaji wangapi Rwanda na Burundi wamefungwa maisha gerezani,wamehukumiwa kunyongwa kwa sababu ya maneno waliyoyasema Studio,yakaleta mauaji. Nahisi unajua ila kwa sababu tu ya shida za maisha ya leo,unajitoa sadaka bila kuitizama kesho.
Hando,life changes,envirom go changing,people change,situations change,time is not fixed.Things never remain the same.Am worried about you and your fate.

Sio kama hawajui wanachokiongea na madhara yake kwa jamii ila nahisi wanatumika vibaya.
 
Uliyoyasema tumeyasikia,ila umejificha,hatukuoni wala hatuwezi kukujibu,si uko studio ndani huko ambako mko peke yenu mlolishwa sumu mkakolea.Upande wa pili hawapo,mna uhuru wa koungea mnachokitaka,hakuna wa kuhoji,kujibu,kuuliza.Mnaongea mnachekacheka,mnadhihaki,mnatukana,mnadhalilisha.Hakika mtu akikuskilizeni,kama ana mtindio kama nyie! atasema Herooos!
Lakini,you gays (not guys),are loosing credibility,yourself,your employer and your business.We know you ar working at the best interest of your employer,and every employee is expected to do the same. Lakini chungeni msifanye hivyo at the expense of the community and obvious at the expense of your own fate.
Kama kweli mna nia ya kuelimisha,tokeni nje,hadharani tujibizane hoja kwa hoja,hapo ndipo jamii itajua pumba ipi,mchele upi.Kujificha chumbani unatupa mawe kwa dirishani afu unafunga dirisha hakuonyeshi ukomavu wenu,ni dalili za woga na kwamba hamuviwezi vita,hamna silaha za kutosha kuingia vitani.
Mnaonaje mkiita upande wa pili nao wawe hapo chumbani wakijibu hoja zenu,wakijilinda,wakijitetea,wakieleza umma juu ya tuhuma zenu? Do you think you have perfect information? Perfect info can not be obtained by stumpen like you hando,you are very young to know things at depth.
Radio Clouds ni ya chama gani? kama ni ya chama cha siasa tujuzeni,ni wakati muafaka tukajua hilo.Hando inawezekana hujui ni watangazaji wangapi Rwanda na Burundi wamefungwa maisha gerezani,wamehukumiwa kunyongwa kwa sababu ya maneno waliyoyasema Studio,yakaleta mauaji. Nahisi unajua ila kwa sababu tu ya shida za maisha ya leo,unajitoa sadaka bila kuitizama kesho.
Hando,life changes,envirom go changing,people change,situations change,time is not fixed.Things never remain the same.Am worried about you and your fate.

sometimes tabia za watu zinawajulisha hata mambo yao ya siri. ndilo jina wanalofaa kuitwa hawa vibushuti.
 
There are currently 80 users browsing this thread. (31 members and 49 guests): @ 10:55AM Local time

Hii audience inakupa taswira gani na muda?

Yale yale :

Sijui kama Gerald Hando angependa kuwa sehemu ya Historia Chafu kama hawa hapa chini:-

Rwanda Genocide - Georges Ruggiu - Radio Télévision Libre des Mille Collines

Kenya after election violence - Joshua Arap Sang - Reporter Kass FM
 
Ukiangalia Clouds FM kwa ujumla ni Radio nzuri sana. Tatizo ni watangazaji hasa Gerald Hando na Kibonde na wakati mwingine James Paul. Hawa jamaa wana uwezo fulani wa ku-analasye mambo lakini wanapotea katika kushabikia mtu fulani au chama fulani ( they get carried away by their emotions). Matokeo yake inaonekana kama Clouds FM ni Radio ya CCM kana kwamba CCM haina Radio yake iitwayo Uhuru! Ukiwa shabiki sana wa mtu au chama fulani ni lazima analysis yako itakuwa kama a "glass half empty or half full". Wakianza kuchambua siku hizi uwa nabadilisha station. Can't they simply shut up. Please!
 
Ukiangalia Clouds FM kwa ujumla ni Radio nzuri sana. Tatizo ni watangazaji hasa Gerald Hando na Kibonde na wakati mwingine James Paul. Hawa jamaa wana uwezo fulani wa ku-analasye mambo lakini wanapotea katika kushabikia mtu fulani au chama fulani ( they get carried away by their emotions). Matokeo yake inaonekana kama Clouds FM ni Radio ya CCM kana kwamba CCM haina Radio yake iitwayo Uhuru! Ukiwa shabiki sana wa mtu au chama fulani ni lazima analysis yako itakuwa kama a "glass half empty or half full". Wakianza kuchambua siku hizi uwa nabadilisha station. Can't they simply shut up. Please!
hichi ulichokisema cha mtu kua mshabiki sana wa chama ni ukweli mtupu ambao unafaa kuzingatiwa na wengi humu jf ukiwemo ww mwenyewe
 
Mkuu, tupo wote kabisa. Siku moja mambo yakiharibika, huko mbeleni watakuja kujua nani wa kumpeleka Hague.

Joe Kusaga hawezi kuja kukwepa eti hakujua yanayoendelea. Na sanasana ndiyo ataubeba mzigo huo peke yake kwani amesikia na hakufuatilia kwa aina yoyote na kuchukua hatua madhubuti.

Watu wanajisahau sana na wanafikiri chokochoko hadi zianze, kunahitaji miujiza mikali sana. Na serikali yenyewe inavyoendelea kufanya kazi, sidhani kama tutachukua muda mrefu. Labda wabadilike, vinginevyo, kuna siku Dar itawaka moto.
There are currently 80 users browsing this thread. (31 members and 49 guests): @ 10:55AM Local time

Hii audience inakupa taswira gani na muda?

Yale yale :

Sijui kama Gerald Hando angependa kuwa sehemu ya Historia Chafu kama hawa hapa chini:-

Rwanda Genocide - Georges Ruggiu - Radio Télévision Libre des Mille Collines

Kenya after election violence - Joshua Arap Sang - Reporter Kass FM
 
Nadhani Siasa waachiwe political analysts wazungumzie. Tatizo la TZ mtu akishakuwa na sauti ya kutangaza tayari yeye ni mwandishi wa habari kwanza aliyebobea. Vyombo vya habari vya wenzetu, wanatoa hata time contract tu kwa ajili ya kupata analyst kama ni mambo ya siasa. Clouds wanafanya hivyo kwenye afya na sheria. hata siasa inabidi wapate analyst ambaye ni mtaalamu wa siasa ili afanye analysis ya jambo lolote la kisiasa.
Opinion ya mtu inaruhusiwa lakini si kwa mtangazaji labda kwa sababu hiyo ni public organ na inaweza chukuliwa kuwa ni msimamo wa clouds lakini kumbe la hasha. Inabidi kama mtu anaongea mawazo yake peke yake basi awepo mtu mwingine wa kumhoji siyo ahoji yeye halafu atoe majibu yake mwenyewe. Hiyo itakuwa ni one way news na siyo news inayotakiwa kwenye media.

Gerald I am fond of you and I believe you are not a fool and you will never be if you believe so. Just need a little twist in case of matters that are sensitive especially when lives if people have been lost or anything that may lead to that is showing signs of....
 
kwanza nashanga! Kwa uelewa wangu clouds ni radio ya youth ent na ipo kwa ajili ya vijana, lakini ckuizi imekua radio ya kisiasa, haichambui mambo watangazaji wana bwabwaja 2 bila kujua wanaongea nin, kuna mda wanaongea vi2 kama uko na mzazi unaweza ukazima radio, watangazaji wake wote ni non-educated, wameishia lasaba na form 4 je wanaujuzi wa kuchambua mambo? Wanakurupuka 2, chungeni sana mauaji ya Rwanda na Burundi mengi yalisababishwa na radios stations nyingi. Clouds mna boa nw tokeni kwny siasa c mnabwatuka 2 wapumbavu nyie.
 
Mi nasema kama wao clouds kuanzia huyo hando, kibonde, kusaga hadi huyo ruge, kama wanaweza kuzungumza basi waje wazungumzie hapa jamvini ili wapate majibu. Siyo kujificha huko waliko wanabwabwaja tu.
 
The boat is sailing..without shrewdness, when the fierce storms come, the ability to reach the destination would be highly impaired by taking side with losers in the mid of chaotic ocean
 
Ni uongo mkubwa kusema cdm inachochea fujo.inachofanya cdm ni kutoa elimu ya uraia kwa wananchi sasa uelewa umeongezeka raia wanaanza kudai haki zao elewa hivyo, hata mababu zetu baada ya kupata elimu walianza kupingana na udhaimu walio kuwa wanafanyiwa na wakoloni.
 
Back
Top Bottom