Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
- Thread starter
- #101
ukibadili tunaandamana hahaha!
mision accomplished...sredi klosedi.....
ukibadili tunaandamana hahaha!
aiseeee.....asante sana!!
kama unatumia tigo sidhani kama mtaendana na belinda hebu jaribu mwingine.
Usibadilishe hii avatar bila ruhusa ya Board of Directors ya JF na uwe na sababu nzito za kufanya hivyo, maana sijui kama kuna avatar nyingine itayoendana na ID yako ya BJ ...nadhani umeona mechi ya leo na Wanigeria katika Kombe la dunia la Wanawake kule Germany. Nigeria wamefungwa na Wafaransa 1-0 lakini Nigeria walikuwa na nafasi nzuri za kushinda kama sio kutoa draw.
dah! huku BJ, nimekatiza hapo pembeni naona shosti, dena, AD na Lizzy, sjakaa vizuri nakuta sred la michelle, mara nikaona la faizafoxy, khaaaa! sjui kabaki nani namimi nimuanzishie la kwangu?Orait orait, will stick to this mana pia naipenda kiukweli..imeshakuwa 'branded' ha ha!!..Thanks
Sijaona mechi BAK yani leo niliangalia Formula 1 halafu sijaangalia sport zingie..Lewis Hamilton hivyo hivyo, Vetttel nae kazidi kushinda GP na yupo mbele point nyingi hadi ananiboa!!
I hope hukupata presha na hiyo mechi as I assume ulikuwa unashabikia Nigeria, ha ha!!..Bye for now!!
Orait orait, will stick to this mana pia naipenda kiukweli..imeshakuwa 'branded' ha ha!!..Thanks
Sijaona mechi BAK yani leo niliangalia Formula 1 halafu sijaangalia sport zingie..Lewis Hamilton hivyo hivyo, Vetttel nae kazidi kushinda GP na yupo mbele point nyingi hadi ananiboa!!
I hope hukupata presha na hiyo mechi as I assume ulikuwa unashabikia Nigeria, ha ha!!..Bye for now!!
Serena na Venus hawatakutana fainali watakutana kabla wapo upande mmoja wa draw na hiyo pia itategemea wakishinda wote.Mie na Wafaransa wapi na wapi BJ! ...niliwafagilia sana Waafrika wenzetu lakini ndio hivyo tena naona leo haikuwa siku yao.....na group A walilokuwemo ni gumu mno sijui kama watapita maana kuna mabingwa watetezi Germany, France, Canada na wao...Msimu kwa Hamilton nadhani ndio umeshakwisha maana yuko nyuma kwa points nyingi sana labda itokee miujiza.
Leo nilichuuzika nikadhani kwamba Wimbledon wangecheza ili niwaone Serena na dada yake wakifanya vitu vyao kumbe leo ilikuwa ni mapumziko, round of 16 itaanza rasmi kesho I hope akina Williams wataendelea kufanya vitu vyao, ikitokea wakiingia fainali wenyewe itakuwa bomba sana hasa ukitilia maanani Serena hajacheza kwa mwaka mzima kutokana na kuumia na pia kuwa mgonjwa (ugonjwa ambao ungeweza kumfanya arudishe namba) na dada yake hajacheza kwa karibu miezi saba sasa kwa kusumbuliwa na goti.
Nafurahi kusikia hiyo kwamba avatar imeshakuwa branded rasmi hahahahah lol! usiku mwema.
mision accomplished...sredi klosedi.....
| ||||||||||
|
| |||||||||
|
| |||||||||
|
|
Sijaangalia schudule lakini nilisoma comment BBC website hawatakutana fainali,nitachunguza.