Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Semanao ,
What dou you mean by " that position was created purposely for him ?. It looks like the guy got all the credentials required for that position according to what you have stipulated . I don't think it will be fair to say that he shouldn't have got that job simply because his father and Msolla are friends, please put yourself in his position . Also , i totally disagree with those who have memorized that you need to be 50 years old and have alot of experience in order to be a director. I think people should be judged based on their perfomance and not otherwise.
I sorry that you do not know what is happening at SUA. Watu wamekuwa wanapata posts kwa vile wanauhusioano na fulani na wakubwa wa pale
Unayoyasema Mr.Zerro sio uongo,ni kweli kabisa,miye nilisoma faculty Vet,Dr.Muhairwa,Dr.Tutufwe,Dr.Hoza,Dr.Kipanyura,Dr.Kimaro. Hawa ni mifano halisi ya watu waliopata kazi SUA kwa migongo ya watu. Mfano Kwenye interview ya Dr.Tutufwe alishindwa vibaya na Dr.Seth lakini Prof.Gwakisa akampigia pande Tutufwe coz his home boy. Mwingine alimpa mimba mtoto wa Director wa wizara ya mifugo wakati huu, akapewa nafasi ya TA (Muhahirwa huyu). Coz this is an open forum, we speak the truth. Kwahiyo Mr.Zerro usishangae sana.
Hebu angalia vyuo vyote vya Elimu juu vya serikali Prof Msolla ameweka jamaa zake
University of Dodoma DVC Prof Kinabo from Faculty of veterinary SUA
Mzumbe University DVC Prof Mugasa from Faculty of veterinary SUA
Ardhi University (UCLASS) Prof Mwageni from SUA as well
Natop administration ya SUA wote nipuppet wa Msolla, Profs.. Kambarage, Monela na Pereka
Acheni kuwaonea wivu wenzenu! Kama wana uwezo na ni Maprofesa wote ungetamani upewe wewe? Hampewi ng'o!
Hebu angalia vyuo vyote vya Elimu juu vya serikali Prof Msolla ameweka jamaa zake
University of Dodoma DVC Prof Kinabo from Faculty of veterinary SUA
Mzumbe University DVC Prof Mugasa from Faculty of veterinary SUA
Ardhi University (UCLASS) Prof Mwageni from SUA as well
Natop administration ya SUA wote nipuppet wa Msolla, Profs.. Kambarage, Monela na Pereka
Umesahau mwingine amepelekwa DVC kule Open University. Ni vet pia
Hivi wajameni Maprofessa wote hao nani amebaki kufundisha? Au wanafanya part-time?