to all my single boyz in here..

mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi

"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"

asanteni kwa ushirikiano.

hahaa mpwa unaniua kwa kicheko ujue.
ila klorokwini hebu tuongee ukweli,hivi kama kitu hukipendi si ukiondoka hugeuki tena nyuma,lkn mpwa wangu ww umekua hukauki kila dkk unakuja kuchungulia hizi picha tena nahisi kausingizi kazuri ulikapata jana baada ya kuiona picha ya huyu mdada.
mpwa usiudhulumu moyo wako,ukichelewa wajanja wakakuwahi ujue jinsi ya kuhandle heart attack,sitaki kukupoteza mpwa wangu kwa vitu vinavyoepukika.
 
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi

"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"

asanteni kwa ushirikiano.

Mhhhhhh, ndo maana mchungu kama nini.
Bora sindano kuliko wewe yani.

Ok, nitazirudisha zote, wala usijali.
 
hahaa mpwa unaniua kwa kicheko ujue.
ila klorokwini hebu tuongee ukweli,hivi kama kitu hukipendi si ukiondoka hugeuki tena nyuma,lkn mpwa wangu ww umekua hukauki kila dkk unakuja kuchungulia hizi picha tena nahisi kausingizi kazuri ulikapata jana baada ya kuiona picha ya huyu mdada.
mpwa usiudhulumu moyo wako,ukichelewa wajanja wakakuwahi ujue jinsi ya kuhandle heart attack,sitaki kukupoteza mpwa wangu kwa vitu vinavyoepukika.

Nisaidie tu kumwambia dada angu, sijui kwa nini lakini!!
Rethink about me please Klorokwini!
 
CM hapo kwenye mibangili ya shaba mkono umechakachuliwa??Lakini mimi naona huyusiyo mzima maana yawezekana ankula ndumu maana huyu kwanza usikae na vitu vyenye ncha kali akawii kukuumiza!!Na huyu akilewa usijaribu kumwambia twende home unatafuta balaa mwache anywe mpaka tikeshe!!Nanjaa lakini chakuhiki sili!!!
 
CM hapo kwenye mibangili ya shaba mkono umechakachuliwa??Lakini mimi naona huyusiyo mzima maana yawezekana ankula ndumu maana huyu kwanza usikae na vitu vyenye ncha kali akawii kukuumiza!!Na huyu akilewa usijaribu kumwambia twende home unatafuta balaa mwache anywe mpaka tikeshe!!Nanjaa lakini chakuhiki sili!!!
Never Be Afraid To Say what you feel,
kakakiiza hii avatar yako inafanya nashindwa kukonnsentreiti.
long time no see you dear,hope u doin fine.
 
Haya Masingle Boys!!!, Mko wapiiiiiii!!!!!!!!!!, Mbona Kimya?????, Ama ni mfupa ulio shinda Fisi?????.

Ahsante, Cheusimangala, waletee vituuuuz!!
 
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi

"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"

asanteni kwa ushirikiano.

ha ha ha ha ha!
Lol.
 
mimi naomba niweke tangazo hili ili nieleweke zaidi

"kama kuna mdada yeyote hapa JF ambae kwa namna moja au nyengine amefanana na huyu mdada kwenye sredi hii na nilimtumia PM, naomba anirejeshee PM zangu kama nilivyozituma"

asanteni kwa ushirikiano.

Hahahahahahah hii kali.
 
subiri kama miaka 26 hivi nitakuwa na hizo sifa hapo juu usife moyo,,,,,umeskia eeeh!:):)


 
Back
Top Bottom