To all Investors in Tanzania "Get out of Tanzania and Go F@#% Yourselves"!

Hawa jamaa washenzi kabisa, kwanza yanakuja na kujitajirisha kupita kiasi, pili tukianza kubadilisha mambo ili nasi tuanze kuneemeka, yanaleta vitisho. They can go to hell, watuachie dhahabu, almasi, na maliasili yetu, tutajikokota mpaka tuweze kuzalisha wenyewe!

Tena ngoja, nitaandika makala chafu sana na kuhakikisha inachapwa nyumbani na kusambazwa kwa kila Mwananchi.

Tulisema tumechoka kunyanyaswa, kuonewa, kudhalilishwa na kufanywa wanyonge, sasa ni wakati Wananchi wajichukulie hatua mikononi na kuwafukulizia mbali hawa wajinga na kama mtu yeyote Serikalini au kwenye mfumo wa Uongozi wa Tanzania atasimama eti kidete kutetea maslahi ya Mwekezaji, na anyongwe hadharani huku akikatwa vipande vipande taratibu kabla ya mauti kumchukua!
Ni vizuri tu kuwatishia kama kutafanya wasiondoke na badala yake kutuongezea pato ili nasi tufaidike zaidi, pia ni kweli tu WAWEKEZAJI ni washenzi na ni smart KULIKO SISI kwani CCM wamekubali kabisa hawana uwezo wa ku-negotiate nao na CCM haitakaa ikaondoka madarakanii.

Hamna atakayetuletea asali kwenye sahani huku sisi tumekaa tu, kila kitu inabidi kukitokea jasho. Hata mikitaba mizuri inahitaji kuitolea jasho kwa Uzalendo na ujuzi wa kuijadili, kama CCM na serikali yao inayokubaliwa na wengi nchini haina ufanisi tunategemea nini.

Investors wakiondoka ndo itakua moto zaidi na wala viongozi wa CCM hawatadhurika na chochote.
 
Yes Mchungaji knows how to curse and can drop an F bomb in a second and all will be blessed.

Yes I tell it to all the investors who are expoliting Tanzania and look for concesions, free tax, free duty and under 10% royalties, they can go to hell, F#$% themselves and leave us with our un tapped natural resources, we are in no hurry, we have other alternatives to survive!

Mbinu unayoitumia ya kaa kukemea mapepo sidhani kaa itafua dafu. lol

Huu unyonyaji wanaoufanya unakingiwa kifua na sheria dhalili na watu waliopo madarakani, either kwa uzembe wa kuwa dumb bells au kwa maslaha binafsi. Mfano tu wa kuonesha mizizi ilipochimbiwa.
 
Mkuu Rev. Kishoka asante nimeipenda hii.

Nimefurahishwa na jinsi ilivyopokelewa hapa JF pia. Haswa pale mchangiaji mmoja anapokumbusha viongozi kuwa wafikirie huko waendako maana watajikuta wanajibu mashtaka no matter how old they will be by then. Bora wasali kuwa watakuwa wameshakufa kabla mjukuu wetu mmoja hajajakuingia kule Ikulu tukamhadithia yaliyotokea na aliyeyafanya.

Mimi naomba Mungu aharakishe hilo kutokea aniweke kuona hilo tu likitokea. Wakati baadhi ya viongozi wetu watakaposimama kizimbani kujibu tuhuma za maamuzi yasiyo na tija kwa Taifa, yenye kiburi na ya kipuuzi waliyoyafanya kwa makusudi kwa kupuuza ushauri wa wazalendo.

Hata kusaini mkataba unaohusu Taifa zima ndani ya mgahawa itatosha kumhukumu kiongozi aliyehusika.
 
And then....
Watasema sana na kisha watalala!
Give us something concreate....please! Kwa mfano njia ya kuzishtaki hizi kampuni, kushtaki serikali, nk. Sasa imefikia kuandika hoja za kutukana! duh! How effective is this?
 
Naomba kuuliza, uwekezaji katika mali asili na madini unachangia asilimia ngapi ya bajeti? kama wasingekuwepo hao mabeberu (wawekezaji) bajeti yetu ingeadhirika katika lipi?


...Quoting words heard on PowerBreakfast this morning, the Director of Mining in that Wizara admiited that SERIKALI is looking into ways of somehow stashing all that gold into some reserves and matching the same with our currency. Shilling parring in value and the said gold! That would be something aint it! Count centuries ahead before that is realised. By then MASHIMO would be in order.

My take, SASA gold hiyo inaishia somewhere and not filling our coffers! Haitusaidii na pia impact yake ni KIDUCHU! Haya fill in the rest.
 
Tulisema tumechoka kunyanyaswa, kuonewa, kudhalilishwa na kufanywa wanyonge, sasa ni wakati Wananchi wajichukulie hatua mikononi na kuwafukulizia mbali hawa wajinga na kama mtu yeyote Serikalini au kwenye mfumo wa Uongozi wa Tanzania atasimama eti kidete kutetea maslahi ya Mwekezaji, na anyongwe hadharani huku akikatwa vipande vipande taratibu kabla ya mauti kumchukua!

Sio kutetea bali uongozi wetu unatukuza wawekezaji na hawatasikia
 
Mchungaji, ungemsikia huyo Mkurugenzi wa Madini kwenye power breakfast ya Clouds asubuhi hii akitetea huo uwekezaji wa madini ungetamani kuipiga panga radio kwa hasira. Kasema mengi ambayo wala hayana maana ya kumsaidia mwananchi leo akidai kwamba faida kubwa haiwezi kuonekana leo ila itaonekana baada ya muda mrefu! Alipoulizwa juu ya mashimo yatakayoachwa akadai wawekezaji wanapaswa kuyafukia mashimo yale ili sehemu hizo zirudi kama zilivyokuwa wakajenga hata museums za madini juu yake ama wanaweza kuyajaza mashimo maji kutengeneza mabwawa ya samaki...! Pia anasema madini nchini ni mengi hayataisha leo wala kesho. Akatoa mfano wa Afrika Kusini kwamba hadi leo wanaendelea kuchimba madini kwa kina cha kilometa 3 kwenda chini na wanaendelea kuyakuta. Bila shaka anasema na sie tutegemee huko chini zipo layers na layers za madini bila kuwa na utafiti uliofanywa kuhakiki kuthibitisha anachosema.

Tupo na kama hatutakuwepo watoto wetu ama wajukuu watakuja kuwa-prove wrong hawa wenzetu wanaotukuza uwekezaji wa watu kutoka nje badala ya kujitahidi kuwawezesha Watanzania wenyewe kupata ujuzi na uwezo wa kuwekeza kwenye madini hata kama itachukua miaka mia ijayo.

Hivi nchi ambazo hazina madini zinawezaje ku-survive hata sisi tushindwe kuyaacha madini yetu hadi hapo yatakapoweza kutoa faida kubwa zaidi kwa Taifa na wananchi wake?
 
Wengi mnasahau kuwa kiburi cha Wanasiasa wetu kinatokana na mashinikizo ya WB, IMF na Wawekezaji kutoka nchi zinaoshikili a WB/IMF ambazo ndizo zinang'ang'anizia Watawalwa wetu wakubali masharti uchwara ya WB/IMF na vitisho ambavyo vinatuletea Wawekezaji hawa.

Ni mfumo wa ukoloni mamboleo ambao unatokana na umasikini na unyonge wetu.

Ndio tuna haki ya kuwakataa Viongozi wetu, na hata kuwapiga vita, na hata hawa Wawekezaji nao inabidi tuwapige vita na kuwafukuzia mbali!

Wote Wawekezaji na Viongozi wa Tanzania hawatufai.

Lakini kutokana na jeuri za Wawekezaji pamoja na WB/IMF, basi wanaona kuwa tusipofuata wanalotaka, hatuwezi kusalimika.

Waambieni tumeshaona yaliyotokea Marekani na sasa Ugiriki, Ureno na kuendelea kusambaa dunia nzima ya Kibepari, ni kuaanguka kwa uchumi, hivyo wasumbuke huko kwao na si kutunyonya sisi ili kufidia matunda ya ulafi uliosababisha uchumi wao kudorora!

Walikuja kama wakoloni wakatukuta tu masikini na dhahabu zetu, wakatawala na wakaondoka, watuache na dhahabu zetu na umasikini wetu. Siku itakapotulazimu kutumia hizo dhahabu, tutazitumia kwa hiari yetu na si kwa hiari yao. Sana sana sasa hivi kila kitu ni kuwanufaisha wao na si sisi!
 
Mchungaji,
Yamekuwa hayo tena...hivi kweli mliamini kwamba hawa jamaa ipo siku watakuja lipa hizo ada na kodi baadaye!... Jamani, hivi nyie mliona wapi mtu kulipa mahali baada ya mwali kuingia ndani na miaka kupita! siku zote mahali hudaiwa kabla ya ndoa...mkenge tulikwisha ingia/ingizwa na watawala wetu.
 
Mkuu asante, umenena. Hawa mabwana zetu hawati kuongeza riba wala ku-list biashara zao DSE. wanasema Tanzania hakuna miundo mbinu. Huku mitaji waliyokuja nayo sasa hivi imeongezeka mara dufu.Viongozi wetu kwanini wanaona ni bora wawaibie watanzania na kunenepesha hawa wazungu na waarabu. Wanadhani iko siku watakuwa kama wao?. Ni ulimbukeni tu. Ata wawe matajiri kiasi gani, kama si tanzania kuendelea, duniani bado wataonekana ni majuha na malimbukeni tu.
 
Well said Mchungaji hii mijitu has to goooooooooooooooo! sooner is better than later.
 
Nafikiri umelenga wawekezaji wa ndani na nje, ila hasa wa nje. Je wa ndani wanatuneemesha? Wengine juzi juzi mali zao zimekamatwa kule Arusha kwa kutokulipa kodi: type hii ni naona ni kama sawa na wale wa nje!
 
Mchungaji nimekupata na tunastahili kufanya maamuzi magumu ya kihistoria. Tuhamasishane hivihivi mpaka kieleweke
 
Mbona Mr. Zitto yupo kimya hapa! Mr. Zitto, your take please?
Kwanza atuambie kwa nini anataka kugombea ubunge kwenye majimbo ambako dhahabu inachimbwa ukitoa Ubungo na huko aliko sasa. Pia alishabikia kununua mitambo ya Dowans kinyume na sheria ya manunuzi?
 
Worese enough mkuu wako wa nchi "anaamini hata lishuke jua " tanzania bila wawekezaji haiwezekani...mbaya zaidi ni mvivu hata wa kutathmini hayo "matunda" yalopatikana kwa uwekezaji huo toke aenzi za ben mpaka yeye leo 15 yrs...ameshindwa kuongeza salary za watu wake ilihali anao-wakombozi wawekezaji
 
Mchungaji nimekupata na tunastahili kufanya maamuzi magumu ya kihistoria. Tuhamasishane hivihivi mpaka kieleweke

Brother Fely,

Upo sahihi. Nchi ilipofikia inahitaji maamuzi magumu ambayo yanaeza kuonekana extreme to some extent, au yakaonekana maamuzi kichaa, lakini hakuna dawa tofauti na hiyo. Maamuzi machungu na magumu inahitaji kiongozi radical, mkakamavu, mwenye maono, anayejua dunia ilipo na inapoelekea. Tatizo linalonisumbua kiasi cha kunikosesha raha kila ninapolifikiria ni kwamba sioni dalili ya kuibuka kwa kiongozi mshupavu kwa miongo miwili au mitatu ijayo. Thats what make me sad, and thats means kwamba nitakufa kabla ya kushuhudia mabadiliko ya maana kwa taifa langu. Its a pity.
 
Back
Top Bottom