Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Tangu nianze kufuatilia utabiri wa hewa kwenye redio Tanzania na sasa redio zengine na TV pia, mamlaka ya hali ya hewa TZ imekuwa na kasumba ya kutabiri mabadiliko ya hali ya hewa na kupata matokeo kinyume. Mamlaka hii pia ni dhaifu kwa kuwa inaruhusu wenye redio na TV kutangaza utabiri wa hali ya hewa baada ya taarifa ya habari. Hii ya pili ni utartibu mbofu kwa kuwa watu wote duniani wanakuwaga na usongo wa kutizama fideo pale taarifa ya habar ikikaribia, wote familia wanajongeaga sebuleni, hata walevi wa baa wanasogeaga pia. So kama TMA wangekuwa sirias wangefanya mpango wewe TV wasome utabiri wa hali ya hewa dakika 5 kabla ya habari kwa kuwa muda huo kila mtu nyumbani huwa jcho kideoni. TMA jipangeni. Lakini kama kweli mwez wa kumi zitapiga el ninyo ni jambo la kusubilia na kama litatimia, teknolojia ya Tanzania itapanda kwenye medani za kimataifa. Na JK ntampongeza kidogo.