TK shines brighter than as usual

Word has been going around in grapevines,that C which i take it to mean C masasi has been deported to tanzania-any grain of truth in this.
 
IMAG0011TKc.jpg


aah totozi za kisukuma hoyeeee.....

Tuwekee toto za kwenu kenya Yo Yo..naona hapo tumewazidi:)) ha ha
 
Word has been going around in grapevines,that C which i take it to mean C masasi has been deported to tanzania-any grain of truth in this.

nilimwona facebook nikajua yupo holiday,nimeona u -turn wanamsema kawa deported i dont know which is which......:confused2::madgrin:
 
Arifu....
cynthia.jpg


hii kitu wallahi kama ni nguo basi ni jeans..haichuji kudadadeki....
huyu mtoto ni mbongo?!. Glory be to God... hiki ni kifaa!!!
beef.jpg
jamani hivi ndio Cynthia Masasi alivyokuwa kabla ya mkorogo? ni yeye kweli au?
just asking
 
Arifu....
cynthia.jpg


jamani anatamanisha!,umaskini huu ni tabu!

kweli cynthia ni mzuri mwanamke mwenzangu,
anajua kujiremba akarembeka,
hizo nyusi kope uzionazo ni za bandia,hizo nywele ni wig(lace front wig)
hayo macho yake ni lensi kavaa,
hiyo rangi ya ngozi yake kaichubua maana alikua mweusi tii,
huo uso hapo sijui una layer ngapi za make up,
akitoa hivyo vitu vyote nilivyokutajia unaweza kudhani ni mtu mwingine its like wearing a mask,lkn ndo kunaitwa kujiremba na sio ajabu mwanamke kujiremba,
kinachonifanya niongee haya yote,sio kama nina wivu na huyu dada wa watu,
tatizo kaka zetu wa jf siwaelewi kabisaaaa,maana ni juzi hapa mmepiga kura kupinga mawig mkasema mawig yanawakinaisha,kuna thread lizzy alianzisha mkacoment kuwa mnapenda tuwe real hata bra tusivae,
nawashangaeni hapa hakuna hata mmoja aliyeongelea hilo wig alilovaa wala nin zaidi mnasifia yuko hot na wengine kusema eti glory be to God.
Nyie kina kaka mnatuzingua tu,mtu akiwafatisha atadoda huku akiwashuhudia mnavyowashobokea wanaofanya mambo mnayoyapinga.
jaman wadada wenye mawig yenu mkiyatupa imekula kwenu.:majani7:
msione vyaelea vimeundwa.
 
kweli cynthia ni mzuri mwanamke mwenzangu,
anajua kujiremba akarembeka,
hizo nyusi kope uzionazo ni za bandia,hizo nywele ni wig(lace front wig)
hayo macho yake ni lensi kavaa,
hiyo rangi ya ngozi yake kaichubua maana alikua mweusi tii,
huo uso hapo sijui una layer ngapi za make up,
akitoa hivyo vitu vyote nilivyokutajia unaweza kudhani ni mtu mwingine its like wearing a mask,lkn ndo kunaitwa kujiremba na sio ajabu mwanamke kujiremba,
kinachonifanya niongee haya yote,sio kama nina wivu na huyu dada wa watu,
tatizo kaka zetu wa jf siwaelewi kabisaaaa,maana ni juzi hapa mmepiga kura kupinga mawig mkasema mawig yanawakinaisha,kuna thread lizzy alianzisha mkacoment kuwa mnapenda tuwe real hata bra tusivae,
nawashangaeni hapa hakuna hata mmoja aliyeongelea hilo wig alilovaa wala nin zaidi mnasifia yuko hot na wengine kusema eti glory be to God.
Nyie kina kaka mnatuzingua tu,mtu akiwafatisha atadoda huku akiwashuhudia mnavyowashobokea wanaofanya mambo mnayoyapinga.
jaman wadada wenye mawig yenu mkiyatupa imekula kwenu.:majani7:
msione vyaelea vimeundwa.
ndo umewajua leo mpendwa.....hao wakisema be wanamaanisha de
 
kweli cynthia ni mzuri mwanamke mwenzangu,
anajua kujiremba akarembeka,
hizo nyusi kope uzionazo ni za bandia,hizo nywele ni wig(lace front wig)
hayo macho yake ni lensi kavaa,
hiyo rangi ya ngozi yake kaichubua maana alikua mweusi tii,
huo uso hapo sijui una layer ngapi za make up,
akitoa hivyo vitu vyote nilivyokutajia unaweza kudhani ni mtu mwingine its like wearing a mask,lkn ndo kunaitwa kujiremba na sio ajabu mwanamke kujiremba,
kinachonifanya niongee haya yote,sio kama nina wivu na huyu dada wa watu,
tatizo kaka zetu wa jf siwaelewi kabisaaaa,maana ni juzi hapa mmepiga kura kupinga mawig mkasema mawig yanawakinaisha,kuna thread lizzy alianzisha mkacoment kuwa mnapenda tuwe real hata bra tusivae,
nawashangaeni hapa hakuna hata mmoja aliyeongelea hilo wig alilovaa wala nin zaidi mnasifia yuko hot na wengine kusema eti glory be to God.
Nyie kina kaka mnatuzingua tu,mtu akiwafatisha atadoda huku akiwashuhudia mnavyowashobokea wanaofanya mambo mnayoyapinga.
jaman wadada wenye mawig yenu mkiyatupa imekula kwenu.:majani7:
msione vyaelea vimeundwa.

Ha ha ha ha! umenichekesha sana kwa maneno yako!
Anyway JK alishatoa angalizo kuwa AKILI ZA KUAMBIWA UNACHANGANYA NA ZAKO.
 
Back
Top Bottom