PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
kwangu naona inapiga kazi safi sana, hata haisumbui buffering ila sijui kama hali hii itaendelea au kutakuwa na mabadiliko baadaeMimi bado inazingua
kwangu naona inapiga kazi safi sana, hata haisumbui buffering ila sijui kama hali hii itaendelea au kutakuwa na mabadiliko baadaeMimi bado inazingua
the shyt doesn't work..kuna alifanikiwa kutizama?
Mwanzoni program ilipigwa stop na misecurity kwene OS yangu. Probably.Yeah mm nakula live sasa
Cathbert hii screen unai capture vipi? Nipe darasa mkuu!
[/COLOR][/SIZE]
bonyeza control (Ctrl) usiiachie (hold) wakati unabonyeza print screen (PrtSc), then paste kwenye word au notepad. Then unaweza ku-crop na kubakiza kieneo unachokitaka.