Titanic sunk by steering mistake, author says

Hivi jamani MV bukoba walikufa watu wangapi? Maana leo ndiyo imenisikitisha sana hali ilivyokuwa kwenye hii meli iliyotabiriwa kutokuzama. R.I.P titanic na MV bukoba
 
Kuna mambo ambayo ni magumu sana kwenye historia ya dunia.Mojawapo ya mambo hayo ni ajali ya iliyokua meli kubwa sana duniani iliyokua inaitwa Titanic.Meli hii ilipata ajali April 15,1912.Kuna jambo hapa nahisi haliko sawa,hebu na wewe jiulize,inakuaje tukio hili lifanane na hadithi?Kuna binadamu aliitwa Morgan Robertson,katika hadithi yake ya Futility aliyotunga mwaka 1898,inazungumzia meli ya kifahari iliyokua na jina Titan,iliyokua inafanya safari yake ya kwanza kutoka mji wenye jina la Newfoundland,England kuelekea New York,Marekani kugonga barafu kwenye bahari ya Atlantic na kuzama!Meli hiyo ya Titan haikua na majaketi ya kutosha ya kuogelea,pia ilikua na urefu wa futi 800,mwendo kasi wa Titan ulikua 25 kph.Ajali ya Titan ilitokea maili 400 kutokea ilipoanzi safari,ilipoteza maisha ya watu 2500!Hebu tuangalie Titanic,kwanza majina ni yaleyale,Titanic nayo ilipata ajali siku ya kwanza ya safari yake,nayo iligonga barafu kwenye bahari ile ile,na ilipata ajali hiyo umbali ule ule wa maili 400,ikitokea mji ule ule,ajali hii nayo ilitokea usiku wa kwanza na hakukua na majaketi ya kutosha kujiokoa,Titanic iliua watu 2200,ilikua na urefu wa futi 882.9,mwendo kasi wake ulikua 22.5!Tangu hadithi ya Futility itoke mpaka ajali ya meli ya Titanic ni miaka 14,kwanini matukio haya yafanane?Yalipangwa?
 
since the tragedy of the titanic happened lot have been reveled, and many do believe it was a plan. i was passing through one of the articles and i found this writing here..please if any one knows much about this issue en-light us

Everyone knows that the Titanic sank in the cold waters of the North Atlantic, but according to conspiracy theorists, that is only the tip of the iceberg. Groups such as the Pacific Institute claim the Jesuits intentionally sank the Titanic in order to create the Federal Reserve Bank.

As the story goes, in 1910, representatives of the Rockefellers, the Rothschilds, and J.P. Morgan (all rich, all powerful, all members of the Illuminati) met to discuss the creation of the Federal Reserve Bank. The Jesuits planned to use this central banking system to finance their evil schemes of world domination. However, the Vatican knew their plan would be opposed by John Astor, Benjamin Guggenheim, and Isador Strauss, three of the richest men in the world. So, logically, these guys had to die, and they had to die in the craziest way possible so no one would ever suspect foul play. The Jesuits ordered J.P. Morgan, owner of White Star Lines, to build the Titanic. Astor, Guggenheim, and Strauss were all invited to sail on the unsinkable luxury liner, unaware the voyage would mean their deaths.

The whole plot hinged on the actions of Edward Smith, captain of the Titanic. As the story goes, Smith was actually a “Jesuit tempore co-adjator” which is basically a guy who has sworn his life to the Jesuit order. His mission from God was to intentionally ram the Titanic into an iceberg and kill everyone aboard. It didn’t matter that many of the passengers were Catholic immigrants. In fact, the Vatican intentionally filled the ship with Church members in order to deflect suspicion from the Jesuits.

Finally, on April 15th, 1912, Smith made his move. He steered the Titanic into an iceberg, sinking the ship and drowning Astor, Guggenheim, and Strauss. The Church’s enemies had been eliminated, and by December 1913, the Federal Reserve System was in place. The Jesuits would now be able to finance their dreams of taking over the world.
 
mmh smh
hard to swallow

of course it is.. but conspiracy theories tell us those things which happen to be just before the eye blink moment. and when we get ourselves just on exactly time...we go like "its hard to swallow"
 
Theories nyingine bwana, Wajesuit ndo walifanya maji yagande na kutengeneza iceberg? Au ndo walimpa dawa ya usingizi Nahodha wa Titanic hadi akaamua kumwachia msaidizi wake? Well, kumbe ni "conspiracy theory"?
 
Theories nyingine bwana, Wajesuit ndo walifanya maji yagande na kutengeneza iceberg? Au ndo walimpa dawa ya usingizi Nahodha wa Titanic hadi akaamua kumwachia msaidizi wake? Well, kumbe ni "conspiracy theory"?

The whole plot hinged on the actions of Edward Smith, captain of the Titanic. As the story goes, Smith was actually a "Jesuit tempore co-adjator" which is basically a guy who has sworn his life to the Jesuit order. His mission from God was to intentionally ram the Titanic into an iceberg and kill everyone aboard. It didn't matter that many of the passengers were Catholic immigrants. In fact, the Vatican intentionally filled the ship with Church members in order to deflect suspicion from the Jesuits.
 
The whole plot hinged on the actions of Edward Smith, captain of the Titanic. As the story goes, Smith was actually a "Jesuit tempore co-adjator" which is basically a guy who has sworn his life to the Jesuit order. His mission from God was to intentionally ram the Titanic into an iceberg and kill everyone aboard. It didn't matter that many of the passengers were Catholic immigrants. In fact, the Vatican intentionally filled the ship with Church members in order to deflect suspicion from the Jesuits.

If you think you have all the evidences to support your argument without any reasonable doubt, then I'm tarnished and I've no objection to that. If not, then that will always to me be shear illusion!!!!
 
  • Thanks
Reactions: cmp
Back
Top Bottom