bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,016
- 4,961
Mbona haijawabolded mkuu, nahis Kuna sehemu umekosea pia, nielekeze vizurcc. Ibrah 1801
Mbona haijawabolded mkuu, nahis Kuna sehemu umekosea pia, nielekeze vizurcc. Ibrah 1801
Cc:Ibrah0404 ikikataa na hapo basi nimesahauMbona haijawabolded mkuu, nahis Kuna sehemu umekosea pia, nielekeze vizur
Mbona tunaambiwa hiyo meli ndio ilikuwa inafanya safari yake ya kwanza,hizo ajali za mara kadhaa vipi tena?.Kwa kuongezea tu sister ship ya titanic ilikuwa imepata ajali mara kadhaa hvyo ikahitaj matengenezo makubwa ambayo yangeitia hasara kampuni hvyo mabosi walikaa na kukubaliana na captain washift position ya hz meli mbili zilizokiwa zkifanana sana kwa kuwa ni same class ili wakaizamishe ile meli ya awali na kulipwa bima kubwa .
Sijui ndo maana nimehoji maana kila mtu ana story yke kuhusu iyo titanicHujui hata maana ya Titanic ni nini?
Sijui ndo maana nimehoji maana kila mtu ana story yke kuhusu iyo titanic
very great in size, force, or powerNnakushauri jifunze kutumia Google, utaijuwa tu maana ya Titanic.
Kuzama kwa limeli hili ni mchezo ulotengenezwa barabara, kwa lengo na makusudio yake, ukisoma katika machapisho mbali mbali, meli iliyotumika sio meli iliyokusudiwa, walitumia meli nyingine, ukiangalia hata nahodha wa titanic hakufa kwenye ajali kwa maana meli yake haikusafiri wala wafanya kazi wengi wa meli husika, palikuwa na change over usiku ule wa meli kuondoka na ilikuwa ni makusudi kabisa hata zile shehena za dhahabu hazikuwa kwenye meli ilopata ajali, nahodha alipewa ramani ya safari yenye lengo la kumpeleke kwenye miamba ya barafu ili wapotelee huko, ukiangalia kwenye manifesto original ya meli watu wengi tu wako hai, hawa ni wale ambao walitolewa kimya kimya kabla ya safari na wengine walitengenezewa mazingira ya kushindwa kusafiri. Ile meli original ilibomolewa na vyuma vyake katika tons of tons kuuzwa china kama chuma chakavu.
Mkuu vipi mbona umeishia kuguna tuuuu!?.
Mkuu vipi mbona umeishia kuguna tuuuu!?.
Kupitia huu uzi ndio nimejua kumbe mabaki ya meli yaliuzwa china kama chuma chakavu!.Yan kila mtu ana reason yake humu, sasa hii ndo imevunja rekodi
Naam, hicho ni kipigo kwa wenye kukufuru.
Huna uhuru zaidi ya kuwa ni mtumwa wa ibilisi.
Who is Ibilisi?,je alitoka wapi?,je kunaweza kuwa na mungu bila Huyo ibilisi