Kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM chini wa Mkiti wake Freeman Mbowe leo inakutana jijini Da es Salaam maalum kujadili kwa kina tishio la kutaka kuwaua viongozi wake wakuu akiwemo kiongozi wake tishio Dr Wilbroad Slaa.Viongozi wengine wanaodaiwa kutishiwa maisha yao ni mbunge wa ubungo John Mnyika na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Gosbless Lema.
Inatarajiwa Kamati kuu kutoa maamuzi magumu kuhusiana na sakata hilo.
Inatarajiwa Kamati kuu kutoa maamuzi magumu kuhusiana na sakata hilo.