Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
nafikiri kuna vitu vyengine mtu huwezi kutoa ushauri kwa mtu hadi akuulize, na hata atakapokuuliza lazima iwe na limits kwa utakayo yasema. hili ni moja wapo.
suala la mambo ya uzazi ni suala la mke na mume na wale watakaoombwa ushauri.....................sidhani kama mtu asiyeulizwa atakuwa na haki ya kutoa ushauri coz liko personal sana.
suala la mambo ya uzazi ni suala la mke na mume na wale watakaoombwa ushauri.....................sidhani kama mtu asiyeulizwa atakuwa na haki ya kutoa ushauri coz liko personal sana.