hujawahi kuegesha gari ukakuta hakuna laptop ndo maana.kiukweli zinasaidia sana hasa kuzuia wezi /wadokozi wa vifaa au vitu vidogo ndani ya gariAbsolutely right. Siwezi kufanya kazi ya kuweka tinted glass kwenye gari. For what purpose
hujawahi kuegesha gari ukakuta hakuna laptop ndo maana.kiukweli zinasaidia sana hasa kuzuia wezi /wadokozi wa vifaa au vitu vidogo ndani ya gariAbsolutely right. Siwezi kufanya kazi ya kuweka tinted glass kwenye gari. For what purpose
Hizo tinted za wapi? Mi Nina kitu cha USA vioo vya dereva inakuwa havina Giza sana unaona tu ila vya abiria ndio Giza kabisaSio kweli. Nawajua wengi tu wazoefu akitaka ku-reverse au kukata kulia/kushoto lazima ashushe vioo.
Wengine unakuta tinted imekatwa maeneo ya side mirrors ili waone nyuma. Inatesa ila ndio kufa na tai shingoni.
Huwa siachi mkoba wenye personal belongings ndani ya gari kama nashuka mkuu. Hilo kosa nilijifunza kutoka kwa kaka yangu. At the time natoka kwenye gari, nashuka na computer or any other valuable thinghujawahi kuegesha gari ukakuta hakuna laptop ndo maana.kiukweli zinasaidia sana hasa kuzuia wezi /wadokozi wa vifaa au vitu vidogo ndani ya gari
Ukiweka gari inaongezeka mvuto, watoto wakishua hupanda bila hofu ya kuonwa naAbsolutely right. Siwezi kufanya kazi ya kuweka tinted glass kwenye gari. For what purpose
lakini ukiwa na tinted angalau unaweza achaHuwa siachi mkoba wenye personal belongings ndani ya gari kama nashuka mkuu. Hilo kosa nilijifunza kutoka kwa kaka yangu. At the time natoka kwenye gari, nashuka na computer or any other valuable thing
Anyway mimi sio wa kishua so I care the less.Ukiweka gari inaongezeka mvuto, watoto wakishua hupanda bila hofu ya kuonwa na
And above all ni selective kwenye rangi za magari. I normally choose colours that shall not need any decorationsUkiweka gari inaongezeka mvuto, watoto wakishua hupanda bila hofu ya kuonwa na
Yes za US/EU standard. Kwa dereva iko light. Za bongo hazina kipimo,mtu anaweka tu hadi windscreen.Hizo tinted za wapi? Mi Nina kitu cha USA vioo vya dereva inakuwa havina Giza sana unaona tu ila vya abiria ndio Giza kabisa
Wezi wa power window hawazuiwi na tinted. Uache bag usiache ikiwakalia vizuri wanavunja iwe na tinted isiwe na tinted.hujawahi kuegesha gari ukakuta hakuna laptop ndo maana.kiukweli zinasaidia sana hasa kuzuia wezi /wadokozi wa vifaa au vitu vidogo ndani ya gari
Mmhh,Tinted inafanya gari ipoe sana ..ndani kwawa baridii...pia ni nzuri kwa kuvutia bange...
Mbona hata nyumba baadhi zina vioo vya tinted kwenye madirisha je nazo vipi?!Tinted ni karatasi nyeusi tunazoweka kwenye vioo vya Madirisha ya magari yetu.
Tinted huleta faragha kwani aliye nje hawezi kuona kilichomo na yanayotendeka ndani ya Gari.
Askari Polisi wa barabarani wamekuwa wakiyasumbua sana kwa kuyakamata na kuyapekua magari yenye vioo vya aina hii, kwani majambazi na wahalifu wengine hupenda kuyasiliba magari yao kwa vioo hivi.
Wezi Nao wanaonyofoa vifaa kwenye magari tinted
Trafiki akimuona lazima wamkamate na wamdai leseni na road licenceMbona hata nyumba baadhi zina vioo vya tinted kwenye madirisha je nazo vipi?!
Umetisha mzaz...Tinted inafanya gari ipoe sana ..ndani kwawa baridii...pia ni nzuri kwa kuvutia bange...
Tinted inafanya gari ipoe sana ..ndani kwawa baridii...pia ni nzuri kwa kuvutia bange...
SawasawaInaitwa Tint ukishaweka ndo inakua tinted windows..or etc ni sawa na kusema mbona umeleft group, badala ya ku leave group ni swala la past tense na present tense...