Kuna vitu vya kuigiza lakini siyo ushoga, coz tunachochea watoto na vijana wadogo waone ni kitu cha kawaida, Mwenyewe kasema mbona wengine wameigiza wauaji, wachawi na makahaba hawalaumiwi. Kuua katika mazingira fulani e,g self defence, jeshini/vitani kunaruhusiwa na justifiable,hata kupigana, kuigiza ukahaba as long as ni naturalsex kila mtu anafanya swala ni unafanya na nani mumeo au mkeo, ni kitu ambacho kinafanywa na kila binadamu rijali. Lakini homesexualism lazma iwe discourage kwa kutopewa any kind attention, ili watoto wasiige, otherwise attention wanayostahili ni kupingwa kwa nguvu zote BOOM BYE BYE INNA BATTY BWAI DEM!
Sifagilii huu mtindo wa kishoga lakini reply yako inakukanyaga mwenyewe.
Mbona ziko movie za ujasusi, ujambazi nk lakini watoto wenye malezi mazuri hawaziigi?