Ting decoder packages

Nakumbuka channel za Ting ni TBC, Sentanta sports, za dini zoote inajenga asilimia 90 ya channel zoote.
Kwa sasa mwenye package nzuri ni zuku pay tv www.zuku.co.tz. Ting ni kwa wale wanaotaka channel za dini , hawana movies wala mziki. Uefa na english premiere baadhi ya mechi
 
any way lets me try to explain kitu kwako

kwa kweli kwa decoder za gharama za chini STARTIMES wanajitahidi sana kwani huwezi compare na ting, labda uwe mtu unayependa sana chanel za dini

mimi ninaking'amuzi cha easy tv, ting, na startimes lakini kwa kweli am preFfering STARTIMES kwa sababu

nikihitaji movies nigerian movies (napata e-star, citizen), indian movies (bolloowdy na b4u movie), chinese movies (stv kungfu), na english and other movies (sibuka, e tv, mgm, vox africa)

nikihitaji mpira napata ubc (epl 1 match @week pia uefa,), etalian league (stv kungfu live match zote), setanta (ligi ya scotland, sweeden, finland pia kombe la mfalme lote tumeliona hapo), now tunaenjoy kombe la mataifa ya africa live

pia entertainmnet kuna Real star (hapa mwaka huu wataonyesha BIG BROTHER AFRICA live), e entertainment,

watoto kuna (kidsco, nicklodeon, childsmile)

news (bbc, eljezira, msnbc, france 24, cctv news)

hawa jamaa hawaja pata mpira tuu wauingereza wote lakini wanajitahidi sana INGAWA UKITAKA KU ENJOY HUDUMA ZAO UTAFUTE FUNDI MZURI KUFANYA INSTALLATION YA ANTENA YAO. Ingawa mimi natumia kale kaantena kadogo
 
Wana JF,

Naomba kufahamu kuhusu ving'amuzi vya TING.
Nimesikia wana packages 2, unayolipia elfu 10 kwa mwezi na ya 25 kwa mwezi. Je, ni channels gani zinapatikana kwenya hizi packages, na coverage yao kwa sasa ikoje?

Kwa anaefahamu please msaada.

hawa jamaa matapeli usijaribu kununua dekoda yao bado hawajajipanga utaliwa .we mpenzi wa chanel gan ? .ili nikushauli pa kwenda
 
Subirini ujio wa startv na itv mitambo inafungwa kisarawe kwa sasa kazi inaendelea
 
uncle naomba info za Easy TV,cost,coverage n.k

Easy TV unapata local channels zote, za habari ni cnn,bbc,aljazeera,n'k ntv kenya na citizen pia ubc ya uganda,pia wana channel maalumu 4 za movies za Action comedy n'k wanachannel moja ya michezo ambayo inatangaza kiarabu.


Kuhusu coverage. yao sijajua wapo hapa town tu au wameenea nchi nzima! Hii ni kampuni ya mwanzo kabisa kwa hapa tz ila hawajitangazi ndio tatizo lao kubwa, king'amuzi chao ni tsh 100,000 pamoja na matumizi ya miezi mitatu,kwa mwezi wanacharge tsh 9000
 
habari uliyetaka kujua package ya dekoda za TING<br><br>LOCAL CHANNELS<br><br>ATN<br><br>ATN2<br><br>TBC1<br><br>CHANEL TEN<br><br>ITV<br><br>STAR TV<br><br>CLOUDS TV<br><br><br>INTERNATIONAL CHANNELS:<br>SETANTA AFRICA<br><br>ALJAZEERA<br><br>CNN<br><br>KBC<br><br>MUVI TV AFRICA<br><br>PRESS TV FAMILY TV<br><br><br><br>RELIGIOUS CHANNELS&nbsp;<br>EWTN - RC<br>MADANI - ISLAMIC<br>HOPE - SABBATH ADVENTISTS<br>TBN<br>LOVE WORLD<br>EMANUEL TV YA T B JOSHUA<br>COLORSJCTV<br><br>FOR KIDS<br>SMILE OF CHILD<br><br>MALIPO YA MWEZI TSH 10,000.
 
Easy TV unapata local channels zote, za habari ni cnn,bbc,aljazeera,n'k ntv kenya na citizen pia ubc ya uganda,pia wana channel maalumu 4 za movies za Action comedy n'k wanachannel moja ya michezo ambayo inatangaza kiarabu.


Kuhusu coverage. yao sijajua wapo hapa town tu au wameenea nchi nzima! Hii ni kampuni ya mwanzo kabisa kwa hapa tz ila hawajitangazi ndio tatizo lao kubwa, king'amuzi chao ni tsh 100,000 pamoja na matumizi ya miezi mitatu,kwa mwezi wanacharge tsh 9000
na king'amuzi cha startimes ni sh ngapi?
 
Wakuu mkiitazama hiyo list ya channels ilyotolewa hpo juu, hakuna hata Channel moja ya maana,na isitoshe 3/4 yake ni Free to Air kwa wale wenye madish wanafahamu hlo. Channels pekee ambazo ni payee,ni Colors,SENTANTA,na KIDISCO,. Sasa kucharge 10,000 kwa mwezi kwa chnls za kipuuzi kama hzo ambazo ni FTA, si haki kabisa. AFADHALI HAO WENGINE WAMEWEKA LADHA Mchanganyiko. TING no sikushauri ununue kama wewe ni mpenzi wa movies na sports./If you are Champion don't.
 
Mkuu kusema kweli hawa provider wa sh elf 10 kwa mwezi uusitegemee kupata channel yoyote ya maana zaidi ya wao kukusanaya channel za bure na kukombani kisha kukurushia na kukulipisha kidogo, Vinginevyo hawawezi kulipia programs za maana kwa sh elf 10 yako unayolipia kwa mwezi.
Kinacho fanya wengi waponde Star times ni kushindwa walau kuweka local channel zote za kibongo kama walivyo fanya East Tv,
Inaudhi sana eti uko na Star times halafu huwezi kuona local channel kibao za kibango

Mkuu ni kweli mwanzo nilishindwa kuelewa ni kwa nini channel zote za kibongo hazipatikani kipitia STAR TIMES, mwishowe nikaja kuduwa ni wivu wa kibiashara tu; kwanini kwa mfano kampuni za STAR TV,ATN,EATV,ITV na TREDENT hawakubali channel zao ziwe multiplexed kupitia STAR TIMES maanake Wachina uwezo huo wanao sana. Badala yake hao jamaa wame wasusia Wachina eti na wenyewe wanataka kuanzisha ya kwao-lini? GOD KNOWS!

Katika hili mimi nailahumu Serikali yetu kwa kukosa msimamo katika hili - mwanzo walisema wazi wazi kwamba TV Stations zote Tanzania matangazo yao yote yawe multiplexed kupitia TBC/STAR times, na Wachina huwezo wa kutekeleza kazi hiyo wanao sana, vipi tena kibao kiligeuka? ndiyo nashindwa kuelewa. Serikali YETU wakati mwingine inapashwa kuwa firm katika mahamuzi yake, wasiwe pressurised na wafanya biashara kutuletea vurugu katika matangazo ya T-DBS. Mbona TBC1,TBC2, CHANNEL TEN, MLIMANI, SHIBUKA na CLOUDS wote matangazo yao yanapatikana through STAR TMES! why not them?
 
huitaji kulipia we nunua decoder aal-003 na uunganishe nyungo zote ulizonazo na uendelee kuinjoy fta.
aloo decoder hii ya aal-003 inapatikana wapi na vipi sifa zake? Mimi nimenunua ES-HD7000CS ambayo ni fully MPEG2/4, DVB-S/S2 je kuna mtu ambaye anauzoefu na decoder hii je inaruhusu keys?
 
&lt;>
wana decoder 3, AAL-001,AAL-002,AAL-003.hii ya mwisho unapata mawimbi kupitia satellite.kwa sasa unapata kwa tsh 250,000/= decoder hii ni nzuri sana kwa mtazamo wangu kwani unaweza kui2mia popote africa kupata mawimbi ya satellite yoyote kama uko within footprint ya hiyo sat.tangu nimenunua cjawahi kuilipia lakini nai2mia kupata channel za bure kupitia sats w4/7,intelsat 10 and 906,nss12 na w3A.nyuma ya hiyo kuna slot ambayo unaweza weka smartcard ingawa bado cjui km inasapoti ya encryption gani.(irdeto2,cryptowork,viassess,conax etc)nikipata uhakika kama inasapoti pia irdeto2 nitanunua smartcard ya ALJAZEERA ili nipate uefa cl laliga serieA FA Carling cup and much more except epl.nafikiri nimetoa mchango kidogo

Kaka kuna smartcard za aljazeera! Niambie zinatumika kwenye decorder gani tukanunue
 
Wakuu mkiitazama hiyo list ya channels ilyotolewa hpo juu, hakuna hata Channel moja ya maana,na isitoshe 3/4 yake ni Free to Air kwa wale wenye madish wanafahamu hlo. Channels pekee ambazo ni payee,ni Colors,SENTANTA,na KIDISCO,. Sasa kucharge 10,000 kwa mwezi kwa chnls za kipuuzi kama hzo ambazo ni FTA, si haki kabisa. AFADHALI HAO WENGINE WAMEWEKA LADHA Mchanganyiko. TING no sikushauri ununue kama wewe ni mpenzi wa movies na sports./If you are Champion don't.

Hata hizo ulizo sema za kulipia bado ni FTA kwenye baadhi ya satellites
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom