Tundu Lissu aibuka kidedea

Aliyeweka thread hajakurupuka ni ulimi kuteleza tu akasema novemba badala ya octoba. Pili unaposema afanye chunguzi kabla kuandika unakosea, yeye alikua hana uhakika ndio maana akaandika tetesi. Tusiwe tuna challenge kila kitu ili tuonekane sisi tunajua sana. Tetesi haiitaji kufanyiwa uchunguzi kiasi unachotaka wewe vinginevyo neno tetesi halina maana. Hongera lissu.
Asante sana kwa maelezo yako...
 
kwa hiyo mapungufu ni malipo peke yake? so hata kama ukiukwajiwa taratibu uko wazi, mtu akishindwa kulipa tu, inatupiliwa mbali! makubwa haya, kweli masikini wa nchi hii hana pa kutokea!

aaah, mambo mengine nawaachia wenyewe
 
aliyeweka thread hajakurupuka ni ulimi kuteleza tu akasema novemba badala ya octoba. Pili unaposema afanye chunguzi kabla kuandika unakosea, yeye alikua hana uhakika ndio maana akaandika tetesi. Tusiwe tuna challenge kila kitu ili tuonekane sisi tunajua sana. Tetesi haiitaji kufanyiwa uchunguzi kiasi unachotaka wewe vinginevyo neno tetesi halina maana. Hongera lissu.

tuko pamoja mtaalam kwa ufafanuzi.
 
acha kukurupuka, fanya utafiti kabla ya kupost chochote humu badala ya kuomba "habari zaidi!" Hakuna uchaguzi uliofanyika Novemba "31," 2010 kwa kuwa tarehe hiyo haipo!
Na wewe si ufanye utafiti kabla ya kuhukumu? Kama umemuelewa ndio maana amesema Mwenye habari kamili juu ya hilo atujuze kwa mapana zaidi Haya Crashwise ametupa habari kamili sasa unajisikiaje?
 
Na wewe si ufanye utafiti kabla ya kuhukumu? Kama umemuelewa ndio maana amesema Mwenye habari kamili juu ya hilo atujuze kwa mapana zaidi Haya Crashwise ametupa habari kamili sasa unajisikiaje?

Nimejisikia Vizuri
 
Aliyeweka thread hajakurupuka ni ulimi kuteleza tu akasema novemba badala ya octoba. Pili unaposema afanye chunguzi kabla kuandika unakosea, yeye alikua hana uhakika ndio maana akaandika tetesi. Tusiwe tuna challenge kila kitu ili tuonekane sisi tunajua sana. Tetesi haiitaji kufanyiwa uchunguzi kiasi unachotaka wewe vinginevyo neno tetesi halina maana. Hongera lissu.

"Wape wape hao vidonge vyao, wameze wasimeze ni shauri yao!"
 
BIG UP TUNDU na Mwangesi kwa kutetea haki! Tuendelee kumwombea Mpendazoe ambwage Dr. Makongoro ya Ng'ombe sorry Mahanga.
 
Mkubwa hapo umekosea au haujui maana ya tetesi?,jaman ucjaribu kuchallenge kila kilichopo maana utakuwa unakurupuka kama ulivyofanya ktk post yako...m2 kasema anataka mwny in4mation zaidi a2juze,wewd unakuja na hoja ya kukurupuka,,duh wewe ndo umekurupuka!.
 
Mambo ya siasa bana! Yaani CCM inamshataki mshindi pamoja na "Tume ya uchaguzi"! Anyway, Huyu mpiganaji kesha penya, sasa tusubiriye shughuli yake.
 
Back
Top Bottom