PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Tundu Lissu aibuka kidedea katika kesi iliyokua inamkabiri juu ya kuwekewa pingamizi ya uhalali wake kuwepo mjengoni kama Mbunge kutokana na ushindi alioupata kwenye uchaguzi wa Oktoba 31, 2010.
Mwenye habari kamili juu ya hilo atujuze kwa mapana zaidi..
Mwenye habari kamili juu ya hilo atujuze kwa mapana zaidi..