Tindu lisu katikati ya dimbwi asilolijua....

Status
Not open for further replies.

Moghati

Member
Jul 5, 2011
88
7
Naomba nianze kwa kusema hivi...chama cha democrasia na maendeleo kina wenyewe ambao ni wachaga...Tindu lisu aendelee kupiga kelele ivo ivo cku akitaka uongozi wa juu ndani ya cdm ndo atawajua machalii wa kichaga, awaulize akina marehemu chacha wangwe, kafulila, zito kabwe na wengne wengi...walipojaribu kutaka kuleta mabadiliko ndani ya cdm waliitwa mamluki wa sisiem...TINDU mimi nakukubali mtu wangu ila chondechonde jaribu uone...cdm ina mafiga matatu ambayo ni mzee mtei, ndesambulo mapesa na DJ mbowe, ms
 
Hayo ni mawazo yako, ila kumbuka Jf tunatumia resources kuhifadhi hizi post. Hivyo nadhani ni vyema kujiuliza kabla hujapost maana utakuwa unajaza nafasi bure. Ni ushauri tu.
 
Naomba nianze kwa kusema hivi...chama cha democrasia na maendeleo kina wenyewe ambao ni wachaga...Tindu lisu aendelee kupiga kelele ivo ivo cku akitaka uongozi wa juu ndani ya cdm ndo atawajua machalii wa kichaga, awaulize akina marehemu chacha wangwe, kafulila, zito kabwe na wengne wengi...walipojaribu kutaka kuleta mabadiliko ndani ya cdm waliitwa mamluki wa sisiem...TINDU mimi nakukubali mtu wangu ila chondechonde jaribu uone...cdm ina mafiga matatu ambayo ni mzee mtei, ndesambulo mapesa na DJ mbowe, ms

Poti TINDU ndo nani???

Hadi hapo inaonekana unatumika vibaya, siku nyingine uchanganye na zako!!
 
@Moghati,
With all due respect, nadhani ingekuwa vizuri ukajikita kwenye issues kuliko watu! Udini, ukabila, ukanda ni tactics za kizamani sana kwenye ulingo wa kisiasa, na ni watu waliofilisika hoja ndio wanaongelea cheap politics kama hizi. Hata hivyo sitaki kuamini kuwa wewe umefilisika kihivyo na uwepo wako hapa jamvini ni kielelezo kuwa unataka kubadilishana mawazo/idea kwenye hoja zenye mashiko. Hivyo nategemea your next post itaonesha u-great thinker wako. karibu.
 
Si sahihi kupoteza resources za jamvi hili kwa post za namna hii. Na si sahihi kabisa kupoteza resources zako na muda wako kwa thread kama hii.
Mkuu hayo mambo ya Uchaga, Udini, na Ukanda walioyaanzisha wameshayakimbia na hivyo hayana nafasi katika jamvi hili na taifa hili, Kwa faida yako angali matokeo ya uchaguzi wa wabunge kwa mwaka 2010. Angalia kura nyingi za urais Dr.Slaa alipata mikoa gani, Angalia uongozi uliopo CDM ni wa watu wa aina gani?

Kwa kifupi tu ni kwamba, TUNDU ni mwanaharakati, msomi, mwanasheria na mwanamageuzi aliyebobea, hivyo ana uwezo wa kupambanua mambo bila kuhitaji michango kama yako.
 
Hv ubongo wako upo tumboni? Ucnfikirie vbaya lazma unijibu ndio ntoe useful comment, plz do so.
 
Moghati,,fikiri kabla hujatenda. hata kutumwa wakati mwingine ni vema kutumia akili hata kama ni ndogo za kwako kujenga/kuanzisha thread. Its so disgrace!
 
Naomba nianze kwa kusema hivi...chama cha democrasia na maendeleo kina wenyewe ambao ni wachaga...Tindu lisu aendelee kupiga kelele ivo ivo cku akitaka uongozi wa juu ndani ya cdm ndo atawajua machalii wa kichaga, awaulize akina marehemu chacha wangwe, kafulila, zito kabwe na wengne wengi...walipojaribu kutaka kuleta mabadiliko ndani ya cdm waliitwa mamluki wa sisiem...TINDU mimi nakukubali mtu wangu ila chondechonde jaribu uone...cdm ina mafiga matatu ambayo ni mzee mtei, ndesambulo mapesa na DJ mbowe, ms
mkukuta, mkurabita, sera, ujasiriamali, agoa, commowelth, jumuiya ya afrika mashariki, soko la pamoja, kanuni za bunge, katiba, mtaala mpya, vitambulisho vya uraia, tume ya uchaguzi, sherehe za uhuru, mwenge wa uhuru, maadili ya viongozi, spika wa kwanza mwanamke, epa, al-adawi, synovet, kiravu, uzinduzi, takukuru-puka, symbion, ndiyoooooooooo! samahani natumia tochi kuwasha ka-desktop yangu, nasubiri uzinduzi wa single ya MEGAWATI ayaaaaa! umeme umek
 
Naomba nianze kwa kusema hivi...chama cha democrasia na maendeleo kina wenyewe ambao ni wachaga...Tindu lisu aendelee kupiga kelele ivo ivo cku akitaka uongozi wa juu ndani ya cdm ndo atawajua machalii wa kichaga, awaulize akina marehemu chacha wangwe, kafulila, zito kabwe na wengne wengi...walipojaribu kutaka kuleta mabadiliko ndani ya cdm waliitwa mamluki wa sisiem...TINDU mimi nakukubali mtu wangu ila chondechonde jaribu uone...cdm ina mafiga matatu ambayo ni mzee mtei, ndesambulo mapesa na DJ mbowe, ms
Pumba!
 
Umetoa ushauri mzuri kwa huyu Mhe Lissu ambaye hajijui kuwa anatumiwa kama kitendea kazi. Bora azingatie huu ushauri kwani hata yeye muda hauko mbali kabla hajatupiliwa mbali kama waliomtangulia. Mafiga matatu kwa sasa yanamtumia kummaliza Mhe Shibuda na yeye Lissu anafurahia, anachekelea, anatamba, anajisifu as if anaijua hii NGO. Kwa kifupi, inasikitisha.
 
Naomba nianze kwa kusema hivi...chama cha democrasia na maendeleo kina wenyewe ambao ni wachaga...Tindu lisu aendelee kupiga kelele ivo ivo cku akitaka uongozi wa juu ndani ya cdm ndo atawajua machalii wa kichaga, awaulize akina marehemu chacha wangwe, kafulila, zito kabwe na wengne wengi...walipojaribu kutaka kuleta mabadiliko ndani ya cdm waliitwa mamluki wa sisiem...TINDU mimi nakukubali mtu wangu ila chondechonde jaribu uone...cdm ina mafiga matatu ambayo ni mzee mtei, ndesambulo mapesa na DJ mbowe, ms

How on earth is that possible????
 
mna matatizo mengi mnahitaji kuyasolve,..bajeti zinazopitishwa kwa rushwa(hapa ni wizara zote),kuvuana magamba,kuanzisha CCJ,kumtafuta pasipoti mpya vasco da gama maana mliyompa miezi miwili iliyopita imejaa,n.k.,maliza hayo kabla hujapata mda wa kuhara..
 
Mghati kubali hapa umekatika! Haitwi Tindu, anaitwa Tundu! Mbona ubongo wako unaonyesha umeganda upo wap!
 
mkukuta, mkurabita, sera, ujasiriamali, agoa, commowelth, jumuiya ya afrika mashariki, soko la pamoja, kanuni za bunge, katiba, mtaala mpya, vitambulisho vya uraia, tume ya uchaguzi, sherehe za uhuru, mwenge wa uhuru, maadili ya viongozi, spika wa kwanza mwanamke, epa, al-adawi, synovet, kiravu, uzinduzi, takukuru-puka, symbion, ndiyoooooooooo! samahani natumia tochi kuwasha ka-desktop yangu, nasubiri uzinduzi wa single ya MEGAWATI ayaaaaa! umeme umek

Hii nimeipenda sana; kulala usingizi bungeni-uchochezi; kuungana na cuf zanzibar, serikali ya umoja wa kitaifa; kujenga barabare serengeti; kuleta maji mjini tabora kutoka ziwa victoria; kutengeneza train iendayo kasi (sawa na ahadi za Dr wa ukweli aliyejua zitatoka wapi), kujivua gamba; kujiuzulu rostam; barua ya mashirika ya umma kuhonga wabunge; wabunge wa ccm kuhongwa huko tanga na kafulila kuwalipua live; kuunda tume nyingi za bunge; polisi kuua watu huko tarime, mbeya, mwanza, arusha; mabomu ya gongolamboto-bahati mbaya; kuleta wawekezaji gizani kutoka afrika kusini;safari za mara kwa mara kuwekewa maji ya uzima mwilini; kubeba katika malori watu ili kwendakujivua gamba-gamba limegoma kutoka; baraza la mawaziri linaongozwa na malobyist; waziri mkuu kasema uongo-afanywe nini? spika kiti hicho kitakuwa cha moto; angalia sana spika-mdee; maandamano ni sera ya chama fulani; nchi kukaa gizani kwa kipindi kisicho julikana (Power eclipse tetetete); kila mwananchi kupewa chandarua; kila mjamzito na bajaji yake; kigoma kujenga uwanja wa kimataifa; mtwara kujenga bandari ya kisasa; tetetetetetet mambo ni mengi ya magamba bwana utayajua tu
 
thread ya rev.masanilo imewapiga siku nzima ,..naona nape kawatuma vijana wake waje kucounterattack na hoja dhaifu,wanachonifurahisha hawakawii kukimbia,..nape hizo hela unaowapa hawa ungezifanyia kazi nyingine ya kifisadi maana zinatokana na ufisadi
 
kakojoe ulale mtoto mzuri umesika eeee.. usije ukakojoa kitandani kama jana halafu kumbuka kulala na kopo la kukojolea maana juzi nimeona umekojoa chini ya uvungu mpaka sasa hivi chumba bado kinanuka pamoja na dada yako kupiga deki
 
Hv ubongo wako upo tumboni? Ucnfikirie vbaya lazma unijibu ndio ntoe useful comment, plz do so.
inawezekana ukawa tumboni, bt dat z da truth...ila wanachatema mkiambiwa kitu mnatukana hv hayo mapinduz mtayapata kwa matusi...i dont thnk so...
 
inawezekana ukawa tumboni, bt dat z da truth...ila wanachatema mkiambiwa kitu mnatukana hv hayo mapinduz mtayapata kwa matusi...i dont thnk so...
Maadamu inawezekana uko tumboni basi unayoyasema yantoea kupitia tundu ya haja kubwa, nina hakika utasema hili ni tusi wakati umesema uwezekano upo. Which truth u r talking? pumba tupu, awaliyaeleza wakubwa zako ona sasa kimya wanaumbuana mnyewe kwa mnyewe(kiarabu hicho sio tusi).
 
inawezekana ukawa tumboni, bt dat z da truth...ila wanachatema mkiambiwa kitu mnatukana hv hayo mapinduz mtayapata kwa matusi...i dont thnk so...

Neno jepesi naloweza kukwambia ni kwamba wewe ni bogus kweli, yani akili yako iko tumboni!!??

Watumwa wa nape mna matatizo sana, sijui mtajikomboa lini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom