Naomba nianze kwa kusema hivi...chama cha democrasia na maendeleo kina wenyewe ambao ni wachaga...Tindu lisu aendelee kupiga kelele ivo ivo cku akitaka uongozi wa juu ndani ya cdm ndo atawajua machalii wa kichaga, awaulize akina marehemu chacha wangwe, kafulila, zito kabwe na wengne wengi...walipojaribu kutaka kuleta mabadiliko ndani ya cdm waliitwa mamluki wa sisiem...TINDU mimi nakukubali mtu wangu ila chondechonde jaribu uone...cdm ina mafiga matatu ambayo ni mzee mtei, ndesambulo mapesa na DJ mbowe, ms