adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,477
- 4,270
Baada ya kipondo cha goli twite aka goli tatu au kibajaji toka kwa wakata miwa wa mtibwa sukari hatimaye leo yanga imewatimua voingozi wake waajiriwa waliwemo louis sendeu, katibu mwesiga celestine, meneja wa timu, mhasibu na ofisa wa utawala.
MY TAKE: hivi yanga kwanini huwa hawakubali kuwa kuna kushindwa?? Mchezo wa soka una matokeo matatu. Kwanini wao huwa wanaamini kufungwa ni hujuma?? Wataendelea hivi hadi lini??
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
MY TAKE: hivi yanga kwanini huwa hawakubali kuwa kuna kushindwa?? Mchezo wa soka una matokeo matatu. Kwanini wao huwa wanaamini kufungwa ni hujuma?? Wataendelea hivi hadi lini??
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums