Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,456
Wakuu - Nani anaikumbuka timu ya Taifa Stars miaka ya 1977,78,79,80 ambayo ilikuwa na wachezaji wengi kutoka Bandari Mtwara kama akina Abdallah Chuma, Namajojo, Mkandinga, Mrope, nk. Tupeni data na picha kama mnazo please!