engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wana Jf
Katika nchi yetu ya Tanzania tumekuwa ni watu wa kubadilisha makocha kila siku iendayo kwa mungu,tumekuwa ni watu wa kuongea sana mdomoni na kuwapangia kazi makocha wetu wa Taifa kwa kile tuonacho ama kitufurahishacho
Baada ya kutoka draw ya moja kwa moja na timu kutoka Mozambiq the mambas waandishi wa habari waliowengi wame kuwa wakimlazimisha kocha kumpanga mbwana samata kana kwamba ndiye mchezaji pekee ambae kama angeingia uwanjani basi angeweza leta mabadiliko,na waandishi hao wamekwenda mbari zaidi kwa kumtaka kocha wetu wa Taifa kuachia ngazi kama hawezi kufuata kile wanacho mshauri
Hii ina nikumbusha mbari sana,pale waandishi hao hao walipo weza kuweka chachu na kumfukuza kocha mahili kabisa kutoka brazil MAXIMO,kwa kumalazimisha awapange akina kaseja na mwisho wa siku Maximo aliyekuwa akitupa raha kufungasha vilago na kuondoka.
Nina sema kuwa timu hii wapewe waandishi wa habari kwani wamekuwa wakishinikiza kocha wenu kuwapanga wacheza ambao kwake yeye kocha mwenye taaluma anaona kuwa hawana nidhamu na hawafai kujumuishwa ktk kikosi chake
kwa mfano
kocha amesema hawezi kumpanga mbwana samata ktk mechi kwani yeye amekuwa na tabia ya kuto kutoa basi na kupiga chenga hata mahali pasipo stahili,na akawaeleza ukweli kabisa waandishi wa habari kuwa hawezi kumfundisha mbwana kwani hafundishiki,lakini waandishi hao waliendelea kumweleza kocha kuwa kama hawezi kumfundisha basi aachie ngazi,ikimaanisha kuwa waandishi wa habari hawajui kuwa kocha wa taifa kazi yake si kumfundisha mcheza alifu ya mpira.
Tangu awali nilisha sema mpira si lelemama,mplra si pen na karatasi,mpira si maneno mdomoni
mpira ni vitendo
Tuwekeze ktk mpira,tuandae vijana na tutengeneze miundo mbinu ili tuweze kufikia malengo tunayo yataka
Tuelewe kuwa akina Yahya troule ama kina ayew hawakuzinduka tu na kuanza kuchezea timu za ulaya,walitoka ktk vyuo vya michezo na mwisho wa siku wakawa ni wachezaji bor na wakujivunia
lakini Tanzania tunalazimisha,mtu katoka vuta avutacho,kwa kuwa anaweza danadana ya mguu mmoja basi tunataka awe mchezaji mzuri tena aliongoze Taifa letu hiyo haitoweza tokea hata siku moja
ndugu zangu waandishi
tuandae vijana tangu awali na tuwekeza ktk michezo hapo ndipo tutapata timu bora
la sivyo kila kocha akija itakuwa ni fukuza fukuza
Katika nchi yetu ya Tanzania tumekuwa ni watu wa kubadilisha makocha kila siku iendayo kwa mungu,tumekuwa ni watu wa kuongea sana mdomoni na kuwapangia kazi makocha wetu wa Taifa kwa kile tuonacho ama kitufurahishacho
Baada ya kutoka draw ya moja kwa moja na timu kutoka Mozambiq the mambas waandishi wa habari waliowengi wame kuwa wakimlazimisha kocha kumpanga mbwana samata kana kwamba ndiye mchezaji pekee ambae kama angeingia uwanjani basi angeweza leta mabadiliko,na waandishi hao wamekwenda mbari zaidi kwa kumtaka kocha wetu wa Taifa kuachia ngazi kama hawezi kufuata kile wanacho mshauri
Hii ina nikumbusha mbari sana,pale waandishi hao hao walipo weza kuweka chachu na kumfukuza kocha mahili kabisa kutoka brazil MAXIMO,kwa kumalazimisha awapange akina kaseja na mwisho wa siku Maximo aliyekuwa akitupa raha kufungasha vilago na kuondoka.
Nina sema kuwa timu hii wapewe waandishi wa habari kwani wamekuwa wakishinikiza kocha wenu kuwapanga wacheza ambao kwake yeye kocha mwenye taaluma anaona kuwa hawana nidhamu na hawafai kujumuishwa ktk kikosi chake
kwa mfano
kocha amesema hawezi kumpanga mbwana samata ktk mechi kwani yeye amekuwa na tabia ya kuto kutoa basi na kupiga chenga hata mahali pasipo stahili,na akawaeleza ukweli kabisa waandishi wa habari kuwa hawezi kumfundisha mbwana kwani hafundishiki,lakini waandishi hao waliendelea kumweleza kocha kuwa kama hawezi kumfundisha basi aachie ngazi,ikimaanisha kuwa waandishi wa habari hawajui kuwa kocha wa taifa kazi yake si kumfundisha mcheza alifu ya mpira.
Tangu awali nilisha sema mpira si lelemama,mplra si pen na karatasi,mpira si maneno mdomoni
mpira ni vitendo
Tuwekeze ktk mpira,tuandae vijana na tutengeneze miundo mbinu ili tuweze kufikia malengo tunayo yataka
Tuelewe kuwa akina Yahya troule ama kina ayew hawakuzinduka tu na kuanza kuchezea timu za ulaya,walitoka ktk vyuo vya michezo na mwisho wa siku wakawa ni wachezaji bor na wakujivunia
lakini Tanzania tunalazimisha,mtu katoka vuta avutacho,kwa kuwa anaweza danadana ya mguu mmoja basi tunataka awe mchezaji mzuri tena aliongoze Taifa letu hiyo haitoweza tokea hata siku moja
ndugu zangu waandishi
tuandae vijana tangu awali na tuwekeza ktk michezo hapo ndipo tutapata timu bora
la sivyo kila kocha akija itakuwa ni fukuza fukuza