Natiogeo
Senior Member
- Apr 17, 2015
- 187
- 116
kijana unonekana wewe ndio ZERO KABISA!!!
nYIE NDIO MOJAWAPO WA MALOFA WA AKILI MLIBAKI, AMBAO hAMWELEWI dunia inakwenda wapi!!
yaani mkapa naye??
nYIE NDIO MOJAWAPO WA MALOFA WA AKILI MLIBAKI, AMBAO hAMWELEWI dunia inakwenda wapi!!
yaani mkapa naye??
Wana JF
Mungu ametenda. Ameliokoa taifa hili kutoka kwenye mikono ya watekaji. Ama kweli eheeeeee
jamani nchi ilikuwa imeenda.
Sifa zote kwa Mzee Mkapa, Mzee Msekwa, Mzee Warioba na Mzee Mwinyi. Mungu awalinde na awazidishie karama zake.
Najua bado anatupenda na kamwe hawezi kuwaacha wana wa Israel wazame.
Tumshukuru mungu.
Naomba tutafute ibada ya shukrani kabla ya kuapishwa Mh. Magufuli. Na ibada hii hiwe ya dini zote.
Mungu muweza ya yote, amen